Waungwana; hivi hizi nyuzi zinazosambazwa kwenye mitandao yetu hii za kudai baadhi ya halmashauri zinaupungufu wa walimu. Kwaiyo wenye uhitaji wakupangiwa halmashauri hizo wafanye mawasiliano kwa wahusika, ili upangiwe halmashauri hiyo je? Ni kweli
Na inawezekana?
Mwenye uelewa juu ya hilo...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.