Kila nchi ina mapungufu yake, ila ya Tanzania sio mapungufu tena..ni ukoma uliotukuka
Kwahyo Acha hasira kw vi video vyako hapa ku justify malengo yako .
Mbona hu post Yale mazuri yaliyofanywa na mahakama...
Sasa ngoja uone hao polisi waliobugi km hawatosumbuliwa, Ahmed Rashid sai amebaki pekeake..
Bwahaha!!akili zako hazipo mzee..
Sasa kisumu si ni city mzee acha mkikuyu kuna mbunge mhindi, msomali we vp mzee
Watz ukabila upo juu sana katika maisha ya kawaida, kenya ukiachana na siasa ukabila upo chini sana..
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.