Recent content by Komando Kipensi

  1. Komando Kipensi

    JamiiForums Tanzania Utafiti: Mwigulu Nchemba na Edward Lowassa, waongoza kwa vipaumbele

    Mwigulu akipita lowasa awe mkuu wa wilaya
  2. Komando Kipensi

    JamiiForums Tanzania Utafiti: Mwigulu Nchemba na Edward Lowassa, waongoza kwa vipaumbele

    Error n typing
  3. Komando Kipensi

    JamiiForums Tanzania Utafiti: Mwigulu Nchemba na Edward Lowassa, waongoza kwa vipaumbele

    Habari wana jf Zikiwa zimebakia siku chache yai kutotolewa na raisi! mpya kujulikana utafiti uliofanyika na shirika la TEDRO. ...Umebainisha kati ya watangaza nia wote waliotangaza Hotuba bora ni hotuba za vijana kisha wazee kufwatia ndani ya CCM. .... UTAFITI HUO UMEBAINISHA HOTUBA BORA...
  4. Komando Kipensi

    JamiiForums Tanzania Kutoka Ukumbi wa Mlimani City: Mkutano wa January Makamba Kutangaza nia ya Urais

    Nilipoanza kuangalia nikasema hakika January makamba kichwa anaongea hivi bila kusoma basi huyu ni hatari Kumbe dume limeweka Hotuba kwwnye secreen linasoma. ..... Tv toka ukutani jamaa akisoma
  5. Komando Kipensi

    JamiiForums Tanzania Lowassa awasafisha Chenge na Karamagi; asahau miaka ya uhuru

    Ukimsikiliza Lowassa kwa makini utagundua mzee amepoteza kumbukumbu katika hiyo video. Anasema miaka 58 baada ya uhuru; kwa hiyo kichwani mwake anajua mwaka huu ni mwaka 2020. Yote tisa kwake karamagi na Chenge ni watu wa kuigwa anatamani kungekua na akina Karamagi na Chenge elfu 20 hivi...
  6. Komando Kipensi

    JamiiForums Tanzania Mwigulu Nchemba atahutubia Taifa tarehe 31/05/2015

    KUMEKUCHA DODOMA "Sauti ya mtu inasikika nyikani yatayarisheni mapito ya bwana" ndio kuna sauti inasikika arusha tarehe 30/05/2015 lakini sauti hiyo inasema yenyewe inabatiza kwa maji yupo anaekuja anabatiza kwa moto. ... Ni kweli lowasa anatayarisha mapito ya bwana Mwigulu nchemba...
  7. Komando Kipensi

    JamiiForums Tanzania Mwigulu Nchemba ajiuzulu nafasi ya Naibu Katibu Mkuu CCM

    Kibailogia lowasa hawezi maliza miaka 10
  8. Komando Kipensi

    JamiiForums Tanzania Lowassa apata wakati mgumu kwa wajumbe Kamati ya Mambo ya Nje

    Sijui umeandika nini
  9. Komando Kipensi

    JamiiForums Tanzania Lowassa apata wakati mgumu kwa wajumbe Kamati ya Mambo ya Nje

    Ikiwa ni mwaka wa tano tangu mheshimiwa lowasa tangu awe mwenyekiti wa kamati ya bunge mambo ya nje hajawi kusoma taarifa ya mambo ya nje. ... Wajumbe wa kamati hiyo Wanaonekana katika picha wamelalamika lazima lowasa asome taaarifa ya saa nzima akiwa amesimama. .bungeni Kamati ya mambo...
  10. Komando Kipensi

    JamiiForums Tanzania Kutoka Landmark: Lowassa aongoza, Mwigulu Nchemba awapiku wakongwe kwenye utafiti wa TEDRO

    Bado masaa machache ataapishwa. ....kua raisi wa tano wa jamuhuri ya muungano wa tz
  11. Komando Kipensi

    JamiiForums Tanzania Kutoka Landmark: Lowassa aongoza, Mwigulu Nchemba awapiku wakongwe kwenye utafiti wa TEDRO

    Wewe hard fibrications unaipata wapi
  12. Komando Kipensi

    JamiiForums Tanzania Kutoka Landmark: Lowassa aongoza, Mwigulu Nchemba awapiku wakongwe kwenye utafiti wa TEDRO

    Ripoti inayotolewa na Taasisi ya Utafiti Nchini Tanzania TEDRO na Mashariki yote inaonesha kuwa endapo uchaguzi ukifanyika leo Nchini Tanzania,Mh.Lowassa na Mwigulu Nchemba ndio wenye nafasi kubwa ya Kushinda nafasi hiyo. Akizungumza na Waandishi wa Habari Jijini Dsm Mkurugenzi wa TEDRO Joseph...
Back
Top Bottom