Recent content by kom.com

  1. K

    Interview UTT Microfinance

    Iliyofanyika ni written bt computerized. Waliokuwepo tujuzane watakapoanza kuita kwa ajili ya oral mana hapa moja haikai mbili haikai. 4ne ikiita mawazo yote unajua mambo shwari kumbe binamu anaomba vocha. Tujuzane wadau.
  2. K

    Interview UTT Microfinance

    Iliyofanyika ni written tarehe 14 ya mwezi huu wa tatu pale UCC mlimani. Ilikuwa computerised hakuna karatasi wala kalamu mwendo ni kuclick na kuscrow tu. Jaman cjajua bdo kama wameita tena kwa ajili ya oral, waliokuwepo tujuzane kama wameshanza kuita au watakapoita. Thanx.
Back
Top Bottom