Jamani ningependa kujua bei ya bero la mashati ya kichina kama linàvyojulikana kwa wafanya biashara ya mitumba kwa Dar, maana huku Songea niliko ni TZS 800,000/=..
Au kama kuna mtu analijua basi ànicheki whatsapp 0653730547
Jaribu kumfuta member yeyote wa forever anaweza kukusaidia kama unaona aibu kwenda hospitali, kuna bidhaa zipo zinaweza kukusaidie. Kama toothgel iko poa but contact na member aliye karibu, sijui uko maeneo gani?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.