Recent content by Koleba

  1. K

    Maoni, Ushauri na Mapendekezo kwa Shirika la Umeme Tanzania - TANESCO

    Matatizo yote yanapokuwepo hutolewa taarifa.
  2. K

    Maoni, Ushauri na Mapendekezo kwa Shirika la Umeme Tanzania - TANESCO

    Upande wa TANESCO hakukuwa na tatizo, wala wamiliki wa vituo hawakutoa taarifa kuhusu tatizo, pia mifumo ya TANESCO inaonesha mauzo yanafanyika.
  3. K

    Maoni, Ushauri na Mapendekezo kwa Shirika la Umeme Tanzania - TANESCO

    TANESCO ipo katika maboresho ya mfumo wake wa Network, linapotokea tatizo sehemu hakutakuwa na haja ya kufanya Patrol kwani tatizo litaweza kujulikana moja kwa moja kwa kuonekana katika mfumo. teknolojia iliyotumika kwenye mitambo ya kituo hicho ni ya kisasa ijulikanayo kama Distribution SCADA...
  4. K

    TANESCO hawana hoja ya msingi ya kupandisha umeme!

    Majibu Gharama za uzalishaji umeme pamoja na vitu vingine hutegemea teknolojia iliyotumika kuzalisha umeme kama ifuatavyo;- Kituo Gharama za uzalishaji Tshs/kWh) Mtera 9.31 Kidatu 5.18 Kihansi 4.69 Ubungo I 65.90 Ubungo II 92.42 Tegeta 90.00 Kinyerezi I 105.00 Nyakato 291.30 Songas 145.48...
  5. K

    TANESCO hawana hoja ya msingi ya kupandisha umeme!

    vimeongelewa vitu vingi vinavyochangia kupanda ama kushuka kwa umeme, kupanda kwa mafuta ni moja wapo, mitambo hiyo inatumia mafuta ya ndege. lakini pia zinaangaliwa gharama za Uzalishaji, Usafirishaji na Usambazaji. Acha kukurupuka
  6. K

    Ombi la Tanesco kupandisha bei ya umeme kwa 18% laibua mapya

    Lini TANESCO wamefanya ubabaishaji?
  7. K

    Ombi la Tanesco kupandisha bei ya umeme kwa 18% laibua mapya

    Lazima tukubali kinacholipwa sasa na wananchi sio bei halisi Serikali imekuwa ikitoa ruzuku kwa TANESCO Kodi inayokusanywa itumike kuendesha Serikali na kulipia Huduma za jumla badala ya wananchi kutaka zielekezwe kwenye ruzuku. Takwimu zipo Mitambo yote ya gesi imenunuliwa kwa mikopo toka...
  8. K

    Tetesi: Siri ya TANESCO kupandisha umeme kuanzia January ni kulipa deni la IPTL

    Mkuu haihitaji hasira, yaliyopelekwa ni maombi na wadau mnatakiwa KUTOA maoni EWURA sio jamii forums. Unafahamu gharama za uzalishaji umeme kwa unit moja? Mbona zenyewe hamuongelei? Uchunguzi wa kina huwa unafanyika watu hawakurupuki
  9. K

    Tetesi: Siri ya TANESCO kupandisha umeme kuanzia January ni kulipa deni la IPTL

    Kwanza inaonyesha uko nyuma katika kupata habari lakini so kosa lako, ni uvivu wa kufikiri ambao so ugonjwa wako pekee. TANESCO haihusiki na kupandisha bei ya Umeme kisheria EWURA ambae ni mdhibiti anatakiwa kufanya tathmini ya bei ya Umeme kila robo mwaka, si hivyo tu lakini nakusaidia hii ni...
  10. K

    Tetesi: Siri ya TANESCO kupandisha umeme kuanzia January ni kulipa deni la IPTL

    TAARIFA KWA UMMA Shirika la Umeme Tanzania (TANESCO) linapenda kutoa ufafanuzi kuhusu taarifa iliyotolewa katika vyombo mbalimbali vya habari kuhusu ombi la kurekebisha bei za umeme kwa mwaka 2017. Ombi la mabadiliko ya bei za umeme liliwasilishwa EWURA kulingana na Agizo la kubadilisha bei...
  11. K

    Tetesi: Siri ya TANESCO kupandisha umeme kuanzia January ni kulipa deni la IPTL

    TAARIFA KWA UMMA Shirika la Umeme Tanzania (TANESCO) linapenda kutoa ufafanuzi kuhusu taarifa iliyotolewa katika vyombo mbalimbali vya habari kuhusu ombi la kurekebisha bei za umeme kwa mwaka 2017. Ombi la mabadiliko ya bei za umeme liliwasilishwa EWURA kulingana na Agizo la kubadilisha bei...
  12. K

    Kodi ya Asilimia 10: Kwa kila Tshs 1,000 ya kwenye Miamala, tshs 280 ni za TRA kuanzia Julai mosi

    Sio sahihi Kama kodi watu wamekuwa wakalipa hata kupitia bidhaa mbalimbali wanazo nunua hutokea kodi. Huu ni mzigo kwa wananchi hasa wa kipato cha chini
Back
Top Bottom