Umeongea vizuri.lakini hiyo elimu wame wameelimika kuwa na elimu tu si tatizo.nina wifi yangu anaelimu nzuri lakini mambo anayoyafanya...mpka mdogo wake anasema "dada yangu elimu haijamsaidia".nashukuru mungu I live miles and miles away from them hawawezi fika hata kusalimia.maanake nisingeweza...
Kashatumbua. ..huko nenda kwa panzi au kwake.yaani huyu kichwa panzi kamuweza.kichwapanzi is the Beast! !!!! Mpaka kakubali...jamani kweli kilakitu kinamwisho..tena mwisho mbayaaaa
Mbona wenzake wametoka kina shami wote hawatukanao. Huyu kupokelewa ngumu MTU gani hana kiasi na haaminiki si ccm si ukawa. Mitandao imemharibia future yake kwa kutaka kuonyesha watu umwamba.
Blog ile ndo chanzo...nadhani anajuta sasa. ..wenzake wote wamemdharau...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.