Recent content by koi

  1. K

    Nahisi nimeambukizwa HIV, Ushauri please

    Kama ulifanya mara moja na kwa maandaliz mazuri basi ni vigumu sana kupata HIV wataalamu wanasema michubuko ndo tatizo kubwa lkn pia ukimwi unaweza kupatikana kwenye damu kanzia week mbili tangu umeupata hiyo ni kwa mujibu wa madaktari watafit wa nimr muhimbil
  2. K

    CCM walifanya umafia kwa kumteka mgombea udiwani wa CHADEMA kata ya Mtae - LUSHOTO

    Hivi hii tabia ni ngeni kwa chadema ya utekaji wa wagombea.? Je ni mkakati upi chadema wamewahi kufanya ili kuondoa visingizio vya namna hiyo, napata mashaka na uwezo wa viongozi kama wameshindwa kupata mwarobaini wa hili tatizo, ushauri wa bure ni vima ukawekwa utaratibu wa kurdisha form kwa...
  3. K

    Mwenye line ya Tigo Pesa

    ninayo nauza laki nane piga 0783278174
  4. K

    Mitungi ya gesi ya kupikia aina ya oryx

    unayo mingapi , bei yako nimeiona lkn nijue mingapi unayo ili kama nachukua n8chukue yote
  5. K

    Tunakusanya Kero ambazo ungependa zisemewe Bungeni na Nje ya Bunge na Viongozi wa CHADEMA

    kumekuwepo na tatizo kwa watanzania walioweng wanapoenda kwenye ofis za serikali za mitaa kutaka huduma wanaambiwa waje na barua za wajumbe wa serikali za mitaa.wote tuajua kuwa wajumbe wa serikali za mitaa ni mawakala wa ccm.je kwa mfumo wa huu wa vyama ving ni sahihi kulazimishwa kupata barua...
Back
Top Bottom