Recent content by Kobe123

  1. K

    JamiiForums Tanzania Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita watu kazini?

    Ninaomba kuelekezwa kama mtu hana kitambulisho chochote na ana NIDA namba tu je wanakubali uende na nini ili uchukue barua pale Rose Migiro.? Barua ya Serikali za Mitaa inatosha??
  2. K

    JamiiForums Tanzania Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita watu kazini?

    Mkuu hongera sana Mkuu. Ila tupe experience je hyo ilikua database au ni gusa unate.. Hebu twambie furaha yako pia. Hongera
  3. K

    JamiiForums Tanzania Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita watu kazini?

    Binafsi sielewi nan anapanga ila kuna watu wanajitolea huko MDA na wanalipwa si haba. Imagne mtu anapewa 900K bila kodi au makato.,😃😃😃 hela ambayo anapewa Afisa Kilimo Halmashauri tena na makato juu. Mungu asimame katika haya jaman
  4. K

    JamiiForums Tanzania Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita watu kazini?

    Hapo unaweza jikuta unasmama barabarani alimradi gari lipite nawewe. Ila inaonekana Waliofika final wakafaulu n wachache
  5. K

    JamiiForums Tanzania Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita watu kazini?

    Utumishi oral tumefika kwa mbinde mikeka haitoki. Polisi nao wametoa kazi leo siku ya tatu hapasomeki mtandao haukamatiki. Cha kushangaza kuna taasisi watu wanajitolea mwaka wa tatu plus na wanalipwa za kutosha yani unashindwa kuelewa hao wanaojitolea walipita wapi na tangazo la kuomba kujtolea...
  6. K

    JamiiForums Tanzania Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita watu kazini?

    Mkuu ninatumie wifi ya TTCL mpaka sasa sinatoboa
  7. K

    JamiiForums Tanzania Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita watu kazini?

    Huu mtandao wa Maombi ya Polisi huko kwenu upoje jaman. Leo Siku ya tatu hamna kinachoendelea mtandao mbovu balaa. Je polisi wameongeza mda wa maombi??
  8. K

    JamiiForums Tanzania Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita watu kazini?

    Hyo media tour ya Sekretarieti ya Ajira imeishaisha maana naskia wiki ijayo watakuwq Al Jazeera na Docch Velle
  9. K

    JamiiForums Tanzania Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita watu kazini?

    Kama wanakwambia Kilimo cha matikiti maji kinalipa wala usipuuze nenda tu uwe unalima wakati ukisklizia. Placement hapo inaweza kuwa September ikipendeza saana January 2025
  10. K

    JamiiForums Tanzania Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita watu kazini?

    Walikua wananibishia. Leo lazima mbivu mbichi ijulikane
  11. K

    JamiiForums Tanzania Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita watu kazini?

    Lakin naskia kuna watu huwa wanapigiwa sim za kufata barua halaf mkeka unakuja kutoka baadaye Yani unapigiwa kama leo halafu usjachukua barua wiki mbili baadae jina linatoka
  12. K

    JamiiForums Tanzania Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita watu kazini?

    Leo hapa nilipo imenyesha mvua kidogo hizi ni dalili za PDF tena lenye minyama wazee tuipakue
  13. K

    JamiiForums Tanzania Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita watu kazini?

    Zilizonifikia Placement Mpaka June. Mwezi May mzima wale mlio na received jiandaeni kwenda Dodoma
  14. K

    JamiiForums Tanzania Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita watu kazini?

    We jamaa inaonekana una malezi ya upande mmoja.
  15. K

    JamiiForums Tanzania Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita watu kazini?

    Ndugu zetu tuamke Tumuombe Mungu IT Kesho atukumbuke. Binafsi nikiangalia status ya portal nazidi kuomba Mungu atufikishe upande wa pili. Ila swali n moja je wataajir kabla ya mwaka wa bajet kupita au??
Back
Top Bottom