Recent content by Kobe la Makobe

  1. K

    PreGE2025 Halima Mdee ndiye Mtu Pekee aliyekuwa Sahihi kumpokea Uwenyekiti Mbowe

    Jf imekuwa jukwaa la udaku. Hii sio ile Jf ya great thinker niliyokuwa naijua. Kila time inavyokwenda wapumbavu wanaongezeka na werevu wanapungua. Na ndicho nachoona kwa Luca. Sio kwamba hatakiwi kuchangia humu, ni uhuru wake ila hata yeye anajua kabisa aandikacho ni tofauti na uhalisia na hapa...
  2. K

    Mbowe kijana wa CCM kwa kivuli cha upinzani

    Mbowe atawafanya mharishe damu mwaka huu. Na bado tunae tena kwa miaka mingine mingi mbele! Ccm hamumtaki mbowe mnamtaka nani?
  3. K

    Nini husababisha jasho jingi kwa watoto?

    Anasema anashangaa, wakiwa wanacheza hawatoki jasho, hata kama wakitoa basi kidogo sana. Wakilala ndo kasheshe, walipolalia huloa kabisa
  4. K

    Sheikh Jongo asema ujenzi wa msikiti wa Kinondoni haukuombwa na Hayati Magufuli kama ilivyodaiwa

    Wewe ni mufti wa wapi? Kwa hiyo na wewe unaamini huu upuuzi?
  5. K

    Sheikh Jongo asema ujenzi wa msikiti wa Kinondoni haukuombwa na Hayati Magufuli kama ilivyodaiwa

    Kwani kushukuru ni kitu gani babu? Kuna time mvua alikata kabisa ila ilivyoanza kunyesha akashukuriwa JP, so hayo yalikuwa ni mambo ya kawaida kwenye utawala ule
  6. K

    Sheikh Jongo asema ujenzi wa msikiti wa Kinondoni haukuombwa na Hayati Magufuli kama ilivyodaiwa

    Uwe unasikikiza mpaka na kudadisi kabla haujaonekana humu. Hilo ni swali kaulizwa na muumini wake na hilo ndo jibu alilopewa. Kwani hata angekuwepo ingeondoa uhalisia kwani? Jamaa hana mkono wala ushawishi wake kwenye ujenzi wa huo msikiti. Jikaze tu hata kama unaumia
  7. K

    PreGE2025 Je, wabunge watakaoshinda kupitia CHADEMA 2025 watagomea mshahara wa Milioni 18 kwa mwezi?

    Najua chawa mnaumia sana maana kama zikipunguzwa tu na kazi zenu humu mtandaoni zitakuwa kwishney. Sijui ni kwa nini chawa wa ccm wamekasirishwa na kauli ya mbowe kiasi hiki
  8. K

    PreGE2025 Mbowe amepooza siasa za harakati, hatoshei tena uenyekiti CHADEMA ya kipindi hiki

    Wewe mwana CCM unataka chadema iwe ya moto ili ufaidi nini. Kama imepooza ni ndo furaha ya ccm? Tatizo lenu ninyi mapimbi harakati mnazokuja nazo zinafanya mstukiwe matamanio yenu. Tunasemaje, mbowe mi5 tena!
  9. K

    PreGE2025 Mbowe aelezea alivyonusurika kuuwawa June 2013 Soweto Arusha

    Tutamchagua tena aendelee ili sukari ikupande vizuri
  10. K

    Yuko wapi Tundu Lissu?

    Wewe nae ni mpumbavu usiejua kuchanganua mambo, kwa hiyo wewe unataka kila siku Lissu awe mtaani au kwenye vyombo vya habari Just kuwafurahisheni nyie wapumbavu? Sa100 mbona ni rais ila ndani ya siku hizi mbili hasikiki? Sio kila time unakuwa kwa media kenge wewe
  11. K

    Mrisho Gambo: Ninao ushahidi wa watu waliotapeliwa Magari na Godbless Lema

    Gambo mwenyewe hata kwenye kura za maoni hapiti. Uzuri mmoja huwa mnaambiwa mnakenua kama la DP world, baadae sura zinaanza kuwashuka
  12. K

    Chato yatangazwa kuwa kitovu cha Utalii Kanda ya Ziwa

    Kumbe upumbavu ulianza zamani ee?
  13. K

    Mbowe akatisha ziara ya kikazi ili kuwahi Mazishi ya Sabodo, anayezikwa leo usiku

    Mama yako ndio alikuambia kuwa pesa hizo ni za kujengea ofisi?
  14. K

    Freeman Mbowe ajipanga kuuthibitishia Umma kuhusu nyongeza ya mishahara ya Wabunge

    Daah, hii nchi ngumu sana. Imagine mtu kama wewe daah!
Back
Top Bottom