Recent content by koba_ogie

  1. koba_ogie

    Wanawake wangu watatu nimewatumia sms nimewaambia nataka niwaoe kwa kuwapima nione majibu yao

    Sa c unaona hata anavyo kujibu, kama angekua analengo la kuolewa na wewe ulivyo muliza ana plan gan na wewe, atleast angekupa plan zake kwako, na si kukwambia plan zake na zako hazivaan na kukaa kimya,
  2. koba_ogie

    Mapenzi kwangu yamenikataa

    Mapenz yananguvu sana, lakin kudate na single mother ni hatari kwa afya yako, mda wowote anarudiana na baba wa mtoto wake, yan inshort kudate na singo mother ni sawa na kudandia mtumbwi wa vibwengo asee all in all accept the situation then move on, na umsahau kbsa
  3. koba_ogie

    Wanawake wangu watatu nimewatumia sms nimewaambia nataka niwaoe kwa kuwapima nione majibu yao

    Apa ulidandia mtumbwi wa vibwengo inshort umeyakanyaga😅😅
Back
Top Bottom