Wadau naomba kuwasilisha ufafanuzi juu ya suala la mchanga wa dhahabu (makinikia). Tunaweza kujifunza kitu hapa. Bonyeza link hii kupata You Tube video:
https://www.youtube.com/watch?v=NrmbGDhxcV0&t=3s
Serikali iendeshe zoezi la bomoa bomoa kwa misingi ya haki za raia. Ubabe hautasaidia sanasana watapandikiza chuki za raia dhidi ya serikali. Waangalie kwa busara wale wanaostahili fidia basi wapewe haki yao.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.