Bei ya gari ni kulingana na ukubwa..material yanayotumika..
Size za magari Passo<IST<Crown<Rav4<Hilux/Prado<Landcruiser..!
Na bei zimejipanga hivyo hivyo..!
JituMirabaMinne ..Aisee umefanya vizuri sana kuhamia eneo jipya.. Maana pale mwanzo jina la Mwembe chai linafanana na fundi chini ya mwembe.. Kuna vijana wangu wengi walikuwa wanaogopa kuja hapo.. Huyo mmoja wao mpaka pesa ilipomtoka ndio akaacha ubishi..!
Halafu hizi garage zenye majina...
Low voltage kwenda kwenye computer ya gari ECU.. Inaichanganya.. Inatrigger codes nyingine..
Kuna gari kama BMW itawasha taa ya 4x4 battery ikiwa chini..!
Atafute battery iliyo nzuri kucheki kwanza..!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.