Recent content by kizunguzungu

  1. K

    JamiiForums Tanzania Madudu ya Morogoro Paralegal yasiachwe yaendelee

    Kama kungekua na wizi NGO ingeshakufa siku nyingi kwasababu miradi isingefanikiwa inkognito ungeuliza wenzako wenye ujuzi wakuambie jinsi mahesabu yanavyoenda Sio kukurupuka na mada za kuokoteza
  2. K

    JamiiForums Tanzania Madudu ya Morogoro Paralegal yasiachwe yaendelee

    Kwenye msafara wa mamba hata kenge wapo
  3. K

    JamiiForums Tanzania Madudu ya Morogoro Paralegal yasiachwe yaendelee

    Kama wangekua wanaiba auditors si wangeshagundua? Au hua hakuna ukaguzi kwenye mahesabu jaman? Kwa elimu yangu ninachojua hela za miradi hua zinatolewa report ya mapato na matumizi.
Back
Top Bottom