Kama kungekua na wizi NGO ingeshakufa siku nyingi kwasababu miradi isingefanikiwa inkognito ungeuliza wenzako wenye ujuzi wakuambie jinsi mahesabu yanavyoenda Sio kukurupuka na mada za kuokoteza
Kama wangekua wanaiba auditors si wangeshagundua? Au hua hakuna ukaguzi kwenye mahesabu jaman? Kwa elimu yangu ninachojua hela za miradi hua zinatolewa report ya mapato na matumizi.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.