Recent content by kizota130

  1. K

    Uvunaji wa Maji ya Mvua, Ungemaliza tatizo la maji Dar na Dodoma. Mamlaka amkeni na hili!

    Me napokaa iwe mvua iwe jua maji ni ni j4 na jumamosi....na kuna familia yangu moja iko kinyerezi inasema mara ya mwisho kuona maji ni siku mama alivyokua na mkutano wa kampeni dar.
  2. K

    Changamoto ya huduma ya bima za afya kwa wanavyuo

    Mimi ni mwanafunzi wa chuo kikuu mwaka wa kwanza. Tulivyofika chuo tulipaswa kulipia bima ya afya 50400, lakini mpaka sasa hatujapatiwa hizo bima na semister inaenda ukingoni. Tulivyojaribu kufatilia walisema kuna namba za bima tutapewa zitatumika kipindi ambacho tunasubiri bima, lakini pia...
Back
Top Bottom