Ahsante kwa majibu mazuri dr. Je kwa mtu kama huyu ana nafasi gani katika kushiriki tendo la ndoa bila kupata mimba zisizo tarajiwa ukilinganisha na muda atakaokaa bila kuona mzunguko wa siku zake?
Kwa udini tulio nao hapa Tz, Rais kuhubiri dini hali ya kuwa anawaongoza watu wenye Imani tofauti, angeshahukumiwa kuwa yeye ni mdini. Hii ni kwa Tz tu lakini.
Kwa wakazi wa mbagala hususani ruti ya k'koo mb'gala, kwa nyakati za jioni kuanzia saa moja hadi saa mbili,usiku ni muda wa mateso kwao. Kwani muda huo gari huwa hazionekani kabisa. Serikali kupitia vyombo vyenye mamlaka juu ya jambo hili vilitazame kwa ukaribu zaidi ili kuepuka gharama...
Kuna baadhi ya mila ya makabila fulani, inapotokea mtu kupotea katika mazingira tatanishi,na ikapita kipndi kirefu bila kupata taarifa zake! Moja kwa moja huisi amefariki. Hivyo familia husika huandaa mazishi hata kama ya mgomba huupeleka kaburini na kuuzika ikiashiria kwamba ndugu yao hawako...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.