Inakuwaje unafanya uovu kwa makusudi kabisa ya mtu, mwananchi au kiongozi unamweka ndani unambambikia kesi za uongo unamweka gelezani kwa muda mrefu huku uchunguzi bado haujakamilika.
Unaremote mahakama kama nyumba yako uliyowapangisha wafanyakazi wako. Unafikiria hata mpaka uamuzi wa kumtoa...
Inakuwaje unafanya uovu kwa makusudi kabisa ya mwananchi au kiongozi unambambikia kesi za uongo unamweka gelezani kwa muda mrefu. Unafikiria hata mpaka uamuzi wa kumtoa Binadamu uhai wake wa kuishi hapa duniani. Ili umfurahishe kiongozi au boss wako ili akuteue wewe uliyefanya mauaji hayo...
Sawa nimepokea maoni yako Tlaatlaah nyie ndio mnayo hati miliki ya kuitawala Nchi milemile. Mtatuwekea viraka hiyo katiba yenu mpaka pale mtakapoona inafaa iapendeza zaidi.
Umaskini ni laana mbaya sana inafikaje Mtu au Kiongozi unafanya uovu kwa kumdhulumu kwa kuutoa Binadamu uhai wake wa...
Sawa nimepokea maoni yako Tlaatlaah nyie ndio mnayo hati miliki ya kuitawala Nchi milemile. Mtatuwekea viraka hiyo katiba yenu mpaka pale mtakapoona inafaa itapendeza zaidi.
CCM kwa uroho wao na ulevi wa madaraka wameshafanya mizaha mingi sana. Wamekaa mifumo ya vyama vingi iliyotokea duniani kote miaka 34 iliyopita Mzee wa miaka 88 wasira alisema kwa kufuru"CCM haitaondoka madarakani mpaka yesu akataporudi"
Hii picha ilipigwa mwaka 2008 ni tume iliongozwa na Kofi...
Jirani yetu Kenya kiliwaka mwaka 2007 Baada ya uchaguzi mkuu watu zaidi ya 1000 walipoteza maisha. Viongozi wa Kenya wataitwa ICC kujibu case mashitaka walifanya mizahazaha maigizo na michezo ya kuigizaigiza kama walivyozoea kufanya CCM. Kenya waliunda tume ya usuluhishi na upatanishi ya taifa...
Kwa heshima ujengwe mnara mkubwa wa makumbusho ya kumbukumbu ya kuwa kumbuka kila mwaka wahanga wetu wote. Walioteswa Waliopotezwa ama kuuwawa na CCM kabla na baada ya mauwaji ya uchaguzi wa October 29,2025 kwa kuyaandika majina yao wote kama Mashujaa wa Taifa.
Viongozi waliokataa kukubali mabadiliko wanayodai mwananchi katika Nchi zao,kama kupinga ubaguzi wa rangi Nchini South Africa. Chaguzi za viini macho kama Tanzania Uganda na Mozambique, utekwaji na mauaji ya kisiasa kwa wananchi, wanasiasa wa upinzani kufungwa magerezani kwa kupambikizi wacase...
Amani imetafsiliwa na viongozi walioko madarakani ni.
▪︎ kutokuwepo kwa migomo au maandamano ya kupinga ama kukataa jambo lolote. Iwe kwa watumishi wafanyakazi,wafanya biashara na wakulima.
▪︎ kutokuwepo kwa mawazo au fikra huru tofauti wala kuhoji kosoaji jambo lolote.
▪︎ kutokuwepo kwa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.