Recent content by Kiweli

  1. K

    Pepo na roho ya umaskini ni laana mbaya sana unafikiriaje mpaka mtu unafikia maamuzi ya mwisho ya kumuua Binadamu mwenzako?

    Inakuwaje unafanya uovu kwa makusudi kabisa ya mtu, mwananchi au kiongozi unamweka ndani unambambikia kesi za uongo unamweka gelezani kwa muda mrefu huku uchunguzi bado haujakamilika. Unaremote mahakama kama nyumba yako uliyowapangisha wafanyakazi wako. Unafikiria hata mpaka uamuzi wa kumtoa...
  2. K

    Pepo la Umaskini ni laana mbaya sana unafikiriaje mpaka mtu unafikia maamuzi ya mwisho ya kumuua Binadamu?

    Inakuwaje unafanya uovu kwa makusudi kabisa ya mwananchi au kiongozi unambambikia kesi za uongo unamweka gelezani kwa muda mrefu. Unafikiria hata mpaka uamuzi wa kumtoa Binadamu uhai wake wa kuishi hapa duniani. Ili umfurahishe kiongozi au boss wako ili akuteue wewe uliyefanya mauaji hayo...
  3. K

    Bila kupatikana kwa katiba mpya ya wananchi tume huru ya uchaguzi Nchi haitakuja kutawalika tena

    Mr Tlaatlaah Binadamu wanaoishi Tanzania sio wajinga kama mifumo unavyofikirisha
  4. K

    Bila kupatikana kwa katiba mpya ya wananchi tume huru ya uchaguzi Nchi haitakuja kutawalika tena

    Sawa nimepokea maoni yako Tlaatlaah nyie ndio mnayo hati miliki ya kuitawala Nchi milemile. Mtatuwekea viraka hiyo katiba yenu mpaka pale mtakapoona inafaa iapendeza zaidi. Umaskini ni laana mbaya sana inafikaje Mtu au Kiongozi unafanya uovu kwa kumdhulumu kwa kuutoa Binadamu uhai wake wa...
  5. K

    Bila kupatikana kwa katiba mpya ya wananchi tume huru ya uchaguzi Nchi haitakuja kutawalika tena

    Sawa nimepokea maoni yako Tlaatlaah nyie ndio mnayo hati miliki ya kuitawala Nchi milemile. Mtatuwekea viraka hiyo katiba yenu mpaka pale mtakapoona inafaa itapendeza zaidi.
  6. K

    Bila kupatikana kwa katiba mpya ya wananchi tume huru ya uchaguzi Nchi haitakuja kutawalika tena

    CCM kwa uroho wao na ulevi wa madaraka wameshafanya mizaha mingi sana. Wamekaa mifumo ya vyama vingi iliyotokea duniani kote miaka 34 iliyopita Mzee wa miaka 88 wasira alisema kwa kufuru"CCM haitaondoka madarakani mpaka yesu akataporudi" Hii picha ilipigwa mwaka 2008 ni tume iliongozwa na Kofi...
  7. K

    Bila kupatikana kwa katiba mpya ya wananchi tume huru ya uchaguzi Nchi haitakuja kutawalika tena

    Jirani yetu Kenya kiliwaka mwaka 2007 Baada ya uchaguzi mkuu watu zaidi ya 1000 walipoteza maisha. Viongozi wa Kenya wataitwa ICC kujibu case mashitaka walifanya mizahazaha maigizo na michezo ya kuigizaigiza kama walivyozoea kufanya CCM. Kenya waliunda tume ya usuluhishi na upatanishi ya taifa...
  8. K

    Bila kupatikana kwa katiba mpya ya wananchi tume huru ya uchaguzi Nchi haitakuja kutawalika tena

    Kwa heshima ujengwe mnara mkubwa wa makumbusho ya kumbukumbu ya kuwa kumbuka kila mwaka wahanga wetu wote. Walioteswa Waliopotezwa ama kuuwawa na CCM kabla na baada ya mauwaji ya uchaguzi wa October 29,2025 kwa kuyaandika majina yao wote kama Mashujaa wa Taifa.
  9. K

    Jamii inapokabiliwa na ukandamizaji ukiukwaji wa haki za kibinadamu na kudhibitiwa vyombo ninavyopaswa kutunga na kutoa sheria yani Bunge na mahakama

    Viongozi waliokataa kukubali mabadiliko wanayodai mwananchi katika Nchi zao,kama kupinga ubaguzi wa rangi Nchini South Africa. Chaguzi za viini macho kama Tanzania Uganda na Mozambique, utekwaji na mauaji ya kisiasa kwa wananchi, wanasiasa wa upinzani kufungwa magerezani kwa kupambikizi wacase...
  10. K

    Rais wa Botswana anawaheshimu wananchi waliomchagua awatumikie

    Kauli ya ilituendelee tunahitaji vitu.... Je tumefeli wapi?
  11. K

    Wananchi wametakiwa waheshimu na kulinda amani. Lakini viongozi walioko madarakani wao wanavunja katiba na sheria haki za kibinadamu.

    Amani imetafsiliwa na viongozi walioko madarakani ni. ▪︎ kutokuwepo kwa migomo au maandamano ya kupinga ama kukataa jambo lolote. Iwe kwa watumishi wafanyakazi,wafanya biashara na wakulima. ▪︎ kutokuwepo kwa mawazo au fikra huru tofauti wala kuhoji kosoaji jambo lolote. ▪︎ kutokuwepo kwa...
  12. K

    Botswana imethamini utawala bora. Kuhusu rasilimali wameonesha kuwa Serikali ndio huamua matokeo

    Kichwa cha mada nimeunganisha dose naami mada itaeleweka vizuri
Back
Top Bottom