Recent content by Kiweli

  1. K

    Ukweli Mchungu: Machawa wa CCM na uhalisia wa maisha ya mtanzania

    KAZI iendelee....KAZI ni utu.... Mama yupo kwenye list ya marais wa Dunia wanaolipwa mishahara mizuri. Ushahidi upo hapa kwenye takwimu za kimataifa.
  2. K

    Tutambue umaskini wa wananchi na vijana ni janga

  3. K

    Pepo na roho ya umaskini ni laana mbaya sana unafikiriaje mpaka mtu unafikia maamuzi ya mwisho ya kumuua Binadamu mwenzako?

    Inakuwaje unafanya uovu kwa makusudi kabisa ya mtu, mwananchi au kiongozi unamweka ndani unambambikia kesi za uongo unamweka gelezani kwa muda mrefu huku uchunguzi bado haujakamilika. Unaremote mahakama kama nyumba yako uliyowapangisha wafanyakazi wako. Unafikiria hata mpaka uamuzi wa kumtoa...
  4. K

    Pepo la Umaskini ni laana mbaya sana unafikiriaje mpaka mtu unafikia maamuzi ya mwisho ya kumuua Binadamu?

    Inakuwaje unafanya uovu kwa makusudi kabisa ya mwananchi au kiongozi unambambikia kesi za uongo unamweka gelezani kwa muda mrefu. Unafikiria hata mpaka uamuzi wa kumtoa Binadamu uhai wake wa kuishi hapa duniani. Ili umfurahishe kiongozi au boss wako ili akuteue wewe uliyefanya mauaji hayo...
  5. K

    Bila kupatikana kwa katiba mpya ya wananchi tume huru ya uchaguzi Nchi haitakuja kutawalika tena

    Mr Tlaatlaah Binadamu wanaoishi Tanzania sio wajinga kama mifumo unavyofikirisha
  6. K

    Bila kupatikana kwa katiba mpya ya wananchi tume huru ya uchaguzi Nchi haitakuja kutawalika tena

    Sawa nimepokea maoni yako Tlaatlaah nyie ndio mnayo hati miliki ya kuitawala Nchi milemile. Mtatuwekea viraka hiyo katiba yenu mpaka pale mtakapoona inafaa iapendeza zaidi. Umaskini ni laana mbaya sana inafikaje Mtu au Kiongozi unafanya uovu kwa kumdhulumu kwa kuutoa Binadamu uhai wake wa...
  7. K

    Bila kupatikana kwa katiba mpya ya wananchi tume huru ya uchaguzi Nchi haitakuja kutawalika tena

    Sawa nimepokea maoni yako Tlaatlaah nyie ndio mnayo hati miliki ya kuitawala Nchi milemile. Mtatuwekea viraka hiyo katiba yenu mpaka pale mtakapoona inafaa itapendeza zaidi.
  8. K

    Bila kupatikana kwa katiba mpya ya wananchi tume huru ya uchaguzi Nchi haitakuja kutawalika tena

    CCM kwa uroho wao na ulevi wa madaraka wameshafanya mizaha mingi sana. Wamekaa mifumo ya vyama vingi iliyotokea duniani kote miaka 34 iliyopita Mzee wa miaka 88 wasira alisema kwa kufuru"CCM haitaondoka madarakani mpaka yesu akataporudi" Hii picha ilipigwa mwaka 2008 ni tume iliongozwa na Kofi...
  9. K

    Bila kupatikana kwa katiba mpya ya wananchi tume huru ya uchaguzi Nchi haitakuja kutawalika tena

    Jirani yetu Kenya kiliwaka mwaka 2007 Baada ya uchaguzi mkuu watu zaidi ya 1000 walipoteza maisha. Viongozi wa Kenya wataitwa ICC kujibu case mashitaka walifanya mizahazaha maigizo na michezo ya kuigizaigiza kama walivyozoea kufanya CCM. Kenya waliunda tume ya usuluhishi na upatanishi ya taifa...
  10. K

    Bila kupatikana kwa katiba mpya ya wananchi tume huru ya uchaguzi Nchi haitakuja kutawalika tena

    Kwa heshima ujengwe mnara mkubwa wa makumbusho ya kumbukumbu ya kuwa kumbuka kila mwaka wahanga wetu wote. Walioteswa Waliopotezwa ama kuuwawa na CCM kabla na baada ya mauwaji ya uchaguzi wa October 29,2025 kwa kuyaandika majina yao wote kama Mashujaa wa Taifa.
Back
Top Bottom