Weeee umeifiatilia vzr Naamka tena tour aliyofanya karib nchi mzima na kiingilio ni 50 kwa 20 na nyomi za hatar tuache masihara Jide yupo good she deserve it.
kitaalaam wanasema mwanamke anapokuwa mjamzito akiendelea kunyonyesha maziwa yanamxuru mtoto,yanakuwa sio sala tena couse mwil unakuwa unajitengeneza kwa ajili ya maziwa ya mtoto alie tumbonii
Yaaaan wewe ndio sijakuelea pamoja na maelezo marefu,ngoja nikueleweshe kwenye hili na kutaka kuongozana na D ulaya haikuwa apate collabo na wamarekan bali wasanii wakubwa toka africa waliokuwa wakishirik ktk hizo show ambazo D pia alipata mwaliko ndugu Duuh
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.