Jaman ukwel humweka m2 huru ,hiki chama kinachoongelewa baadh ya wa2 wa tandika hawakijui na hawajawah kukickia lakin sana baada ya mda wa2 hawa na porojo zao watajifanya hcho chama wanakijua sana na watajaribu kushawishi wa2 wapoteze mda kwa sababu ya chama,jaman 2jaribu kufikiria hvi vyama...
Jaman jaribun kubalansi hiz habar mnazoandika ili ninaposoma m2 anaelewa na kujua ki2 kwa usahih, ucandike 2 bila kujua ukwel na uhakika wa hyo habari, tafakari chukua ha2a
Acheni kufurahia ujinga ,raic mkubwa kama ww unasema kipaji chake kitapotea vip sasa wakat mtoto kazaliwa na kipaji chake na ndio hivyo kinaonekana kuwa ni neema kwa familia ,sema ninyi mna kitu mnakificha so mnataka mmpeleke wap wakat tz ndio nchi yake na kipaji chake kilipogundulika
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.