Recent content by kivanza

  1. K

    Ni changamoto zipi umewahi kupitia ukiwa katika hali ya umasikini?

    Ufukara si kitu chema kwa kweli, nakumbuka ilikuwa mwaka 2002 niliacha shule Mpwapwa Sekondari nikiwa naingia kidato Cha tatu kwa kukosa ada Elfu thelathini na Tano tu, familia yangu ilikuwa inapitia kipindi kigumu Sana kiuchumi baada ya redundunce ya mzee.
  2. K

    Silaha ya Masikini ni Unafiki

    Umeandika vema. Jamii yetu kubwa imejawa na unafiki na kumbe unasababishwa na hali zetu kiuchumi(umaskini).
  3. K

    Life After Life: Je, wajua Magufuli huko alipo anayaona yote? Je, tuendeleze 'double standards' ya 'cherry picking' au tuiachie Karma iwashughulikie?

    Hakika umeandika ukweli mtupu. Kama ni kushughulikia ya awamu iliyopita yashughulikiwe yote na si kubagua kwa maana yalitokea chino ya usimamizi wa utawala ule ule
  4. K

    Hakuna ujana tena, hakuna kusubiri

    Hakika andiko Lina mafunzo
Back
Top Bottom