Mimi ni mtumishi wa Halmashauri ya Wilaya ya Lushoto, nadai malimbikizo ya mshahara wa 2024 na nikishajaza form nikaambiwa imetumwa hazina lakini ni mwaka wa pili Toka niambiwe hivo mpaka Leo sijalipwa, hii inamaanisha Nini?
Watumishi wa Idara ya kilimo tulioajiriwa August 2024 Halmashauri mwaka huu hatujapata annual increament ikiwa ni haki yetu ya msingi, tunaomba utumishi watupe majibu
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.