Recent content by Kivangao

  1. K

    JamiiForums Tanzania Malimbikizo ya mshahara

    Mimi ni mtumishi wa Halmashauri ya Wilaya ya Lushoto, nadai malimbikizo ya mshahara wa 2024 na nikishajaza form nikaambiwa imetumwa hazina lakini ni mwaka wa pili Toka niambiwe hivo mpaka Leo sijalipwa, hii inamaanisha Nini?
  2. K

    JamiiForums Tanzania Kutokupata annual increment

    Watumishi wa Idara ya kilimo tulioajiriwa August 2024 Halmashauri mwaka huu hatujapata annual increament ikiwa ni haki yetu ya msingi, tunaomba utumishi watupe majibu
Back
Top Bottom