Habari wana JF, rejea na kichwa cha habari hapo juu,
Mimi ni kijana 23(umri)nipo mkoa wa Kilimanjaro, nimemaliza Chuo mwaka Jana(2023), nimesoma kozi ya clinical medicine (afisa tabibu,clinical officer) katika ngazi ya Diploma, hivyo Basi nilikuwa naomba/ natafuta nafasi ya kujitolea iwe...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.