Kwanini wana siasa wa tanzania ni waongo sana. Jamani huku kwetu Mbezi Msumi,tulidanganywa na Mh. John Mnyika John na ahadi nzuri sana kuhusu kushirikiana na sisi wananchi katika kutatia kero za maisha, lakini tunaona mwenzetu kaamua kututelekeza kabisa hata kama yeye hana uwezo wa kutatua basi...
Habari zenu wana jamii forums, nina haja na simu ndogo zile zisizo na internet yyte, kawe used vile vya line mbili.
Mwenye nacho aniuzie, nipo dsm makumbusho njoo fasta uchukue pesaaa
Habari waungwana humu ndani, naomba mwenye taarifa ilipo Mexico Bar hapo sinza tafadhari naomba nijulishwe location na urahisi wa kufika,
Karibuni kwa msaada wenu.
Habari zenu wana jukwaa, natafuta simu used iliyo salama, kwa anaeuza iwe hiyo unayotumia au nyingine tafadhari...
Tuma picha(au sema ni aina gano)muda uliyotumia, weka na bei yako na mawasiliano aua hata usipoweka mawasiliano nitakufuata chapchap PM.. Nipo hapa jukwaa online nikuwasubiri nyie...
Nipo Dsm natafuta ukumbi unaoweza kuingia watu 100, au Bar/Restaurants iliyofungwa ambayo inaweza ikakodishwa kwa Dsm maeneo ya sinza,mbagala, n.k tafadhari tuwasiliane nami..
PM
Nipo Dsm natafuta ukumbi unaoweza kuingia watu 100, au Bar/Restaurants iliyofungwa ambayo inaweza ikakodishwa kwa Dsm maeneo ya sinza,mbagala, n.k tafadhari tuwasiliane nami
0625568600
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.