Nssf huwa mnalazimisha watu kuweka pesa kwenye mifuko yenu, Manager mmoja wa Tukuyu alikuwa mkali kupitiliza kiasi japo ukali wake ulikuwa hauna maana coz alikula pesa za wachangiaji fulani hadi leo hazijalejeshwa,
Alipoambiwa hawa watu ni vibarua wa muda alilazimisha wapeleke michango...
Boss sina hizo namba mbaya zaidi magari yenye matatizo yapo mengi mengine hayana breki, pia hata kesho inawezekana likawepo njiani. Wahusika wataliona hili walifanyie kazi.
Trafic wa kyela gari namba T 571 CGY linafanya safari za kyela boda nibovu kupitiliza kiasi na tumenusurika ajari mitaa ya kandete kwasababu gari inahama site yake kuingia site nyingine na lipo barabarani kila siku. Tulikua abiria tisa na dereva moja jumla kumi.
Baada ya kupigwa site mirrow...
Tatizo watu wanafanya kazi kwa woga. Pia kunakitu nyuma ya pazia ambacho nahisi ni muheshimiwa raisi pekee anaweza kukitatua. Waziri wa kilimo aliyepita alitoa mapendekezo mazuri. Baada ya kuondoka tu wakaja watu sijui toka wap wakisema wametumwa na mamlaka iliyojuu ya waziri utaratibu ubaki ule...
Ile ilikua kumnusuru mkulima kwasababu lililotokea halikutegemewa sasa kwanini muda huo tusifanye mambo kitaalamu kuliko kuipa serikali mzigo usio na ulazima
Nakumbuka kabla ya ushirika kuanzia kufanya kazi mlimtangazia mkulima bei ya kakao 4,200 na ukweli hatukufanikiwa kupata soko lenye bei ya 4,200 kitu kilichopelekea matatizo. Leo umetangaza bei ya 4,200 tena je ikitokea mnada umefanyika kwa 3,500 utakua na pesa za kumuongezea mkulima maana...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.