Recent content by Kitubi

  1. K

    Wasifu (CV) ya Dr. John Pombe Magufuli

    Rekebisha makosa. Alianzia Katoke seminary kabla ya kuhamia hiyo lake sec. Aidha alikuwa Mwl wa Sengerema sec na siyo Sengerema s/m
  2. K

    Mnaotetea Rais Magufuli kutohudhuria mikutano mikubwa ya kimataifa someni hapa

    Nje haendi na bado kanunua ndege sita na nyingine ya saba inakuja. Isitoshe anajenga standard gauge railway na Stigler's gorge dam.So, ziara au safari nyingi nje ya nchi zisizo na manufaa kwetu ni za nini? Kwani wawekezaji lazima watoke nje? Inapaswa kuempower wazawa kuwa wawekezaji ili uchumi...
  3. K

    Mnaotetea Rais Magufuli kutohudhuria mikutano mikubwa ya kimataifa someni hapa

    Marais waliotangalia akina Mkapa na Kikwete walisafiri sana. Vp kama taifa, unaweza kutuambia faida au namna tulivyonufaika na hizo safari au hizo ziara?
  4. K

    Padri Titus Amigu: Viongozi wa dini kuingia woga hata kusema uongo

    Tukielewa dini ni nini na siasa ni nini, hatutasumbuka . Maana, hata siku moja huwezi kutenganisha dini na siasa Wakati vyote vinahusu maisha ya watu. Tofauti Tu iliyopo ni kuwa Siasa inajikita ktk maisha ya kimwili na dini ni Kwa vyote, kimwili na kiroho
  5. K

    Rais Magufuli zaidi ya kauli za kibabe ana nini kingine?

    Mungu mwenyewe baada ya kuona democracy haihitajiki alitumia theocracy . Hivyo, democracy ni mbinu tu shetani na wafuasi wake huishadidia
  6. K

    Rais Magufuli zaidi ya kauli za kibabe ana nini kingine?

    We ulitaka awe nani?But frankly speaking, the man deserves to be the president
  7. K

    Andiko la kutii mamlaka. Je, watu watii mamlaka?

    Umakini na busara vinahitajika ktk kufasili neno
  8. K

    Andiko la kutii mamlaka. Je, watu watii mamlaka?

    Umakini na busara vinahitajika ktk kufasili neno
Back
Top Bottom