Aaaaaah, sasa kwa pcha hyo mbona hufai kua mlez wa wanafunzi, wakat mwngne rzk unafukuza mwenywe kutokana na mwonekano na fani unayodai, omba hotel ndo mavaz yao hayo utapata
Mtoa post, nafkr huelew kiapo ni nn
Mwl anapoajrwa anajaza mkataba, ndani ya mkataba au mkataba kwa ujumla ndio kiapo kwa mwl
2. Nashukuru vtu vngne umeviandka ambavyo vnapelekea kua wa mwsho, na ovyo miaka yote
3. Nijazie tu km ifuatavyo
a) maslahi yawepo kwa mwl eg mshahara uongezwe, madaraja...
1. Njooo tarekea(rombo) nije mbarali, tunduma, tukuyu, kyela, rungwe, mbeya jiji au kijijini,
2. Njooooo Kigoma vijijini, nije dar es salaam, moro kibaha sehemu yeyote au bagamoyo. Cont 0655302098
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.