Recent content by kitonzegu

  1. K

    Hii 'Turufu' ya uhakika ya CCM imethibitisha kuwa 'Chama' kina Watu 'Makini' wa Kuusoma Mchezo na Kuwashinda vizuri Wapinzani

    Kwa mujibu wa Katiba ya Zanzibar, labda amteue Mbarawa kama Makamo wa pili, vinginevyo Makamo wa kwanza atatokana na chama cha upinzani, kitakachoshika nafasi ya pili.
  2. K

    SINO Company iliyomhenyesha kutoa Majibu Lukuvi mbele ya Rais Magufuli

    Sheria inaruhusu mmiliki kukodisja ardhi. SINO hawakuvunja sheria kufanya hivyo, na ndiyo sanabu imiliki wao haukuwa revoked, ila sehemu ya umiliki itamegwa. Haikuwa sahihi kudai kuwa SINO haipaswi kumiliki ardhi kwa vile sio wazawa!
  3. K

    SINO Company iliyomhenyesha kutoa Majibu Lukuvi mbele ya Rais Magufuli

    SİNO imesajiliwa BLELA, na ina local directors na shareholders, kwa hiyo wana haki ya kumiliki ardhi TZ.
  4. K

    Vita vya Kagera 1979: Kwanini Jeshi letu lilipitia mipaka ya Sudan badala ya kukatiza hapo kati kufika Kampala?

    Ni kweli kabisa. Mie nilishiriki vita hii, niliishia Arua. Mengi sana yamekuwa classified.
  5. K

    Ushirikiano baina ya vyama hautowezekana. Wamechelewa

    Sio lazima kumwaga damu! Mkoloni mweusi anaweza kushindwa kirahisi sana, hapo tukipata bunge sahihi, siyo hili la ku rubber stamp kila kinachowasilishwa.
  6. K

    Ushirikiano baina ya vyama hautowezekana. Wamechelewa

    Hakika, hii ni kweli kabisa. Kuna double standards katika mambo mengi, inapokuwa chama tawala kinahusika.
  7. K

    Ushirikiano baina ya vyama hautowezekana. Wamechelewa

    Kama vyama mbadala vina nia ya dhati ya kuungana, basi wataomba kitu kinaitwa "extension of time", kwa Msajili, na kutoa sababu zilizowafanya kutofanya hivyo ndani ya muda uliowekwa, ili kufanikisha azma hiyo.
  8. K

    Ushirikiano baina ya vyama hautowezekana. Wamechelewa

    Msajili hatekelezi sheria kama kipofu! Kama sheria inasema ushirikiano ni ndani ya miezi mitatu baada ya Tume kutangaza mchakato, sasa huyo Msajili anatamka kwa sheria ipi, kuwabl ushirikiano umechelewa? Busara ya kawaida ikuongoze kuona kuwa kwa muktadha huo, hiyo sheria ina walakini na ukakasi...
  9. K

    Ushirikiano baina ya vyama hautowezekana. Wamechelewa

    Mchakato wa uchaguzi haujatangazwa rasmi na Tume, katika hali hiyo, vyama vitaungana kwa jinsi gani?
  10. K

    GE2020 Mwigulu Nchemba: Rais wetu ni Magufuli, waambieni waliowatuma enyi wenye tamaa ya Madaraka

    Hata Rais mstaafu, Mh. Mkapa, katika kitabu chake, aliongekea umuhimu wa kuundwa Tume huru ya uchaguzi. Hii ni ishara kuwa hii "taasisi" haiko huru!
  11. K

    Abdallah Bulembo: Njia ya kukabiliana na Corona nchini ni Rais Magufuli kupita bila kupingwa 2020

    Khaaah! Nyani haoni kundule! Sent using Jamii Forums mobile app
  12. K

    CHADEMA kama wangekata rufaa dhidi ya hukumu wangejiweka pazuri zaidi 2020

    Tayari wametoa notisi ya kukata rufaa. Tusubiri. Sent using Jamii Forums mobile app
Back
Top Bottom