Recent content by kitonger

  1. kitonger

    Mikeka: Wazee wenzangu wa kuweka mzigo, karibuni tubashiri mechi za leo

    Wakuu hivi huyu Gwisapunter ni mbongo kweli?
  2. kitonger

    Msaada: Nahitaji mkopo usio na riba

    Aamiin mkuu..naiogopa sana Riba.
  3. kitonger

    Msaada: Nahitaji mkopo usio na riba

    Nimesema waje tu hamna shida..naihitaji hiyo Pesa.
  4. kitonger

    Msaada: Nahitaji mkopo usio na riba

    Siuzi mkuu maana nimeshainua mpk lenta..mkopeshaji atayekuja na riba nafuu.Karibu
  5. kitonger

    Msaada: Nahitaji mkopo usio na riba

    Aje na conditions zake ila kama Riba itakuwepo naomba iwe nafuu.
  6. kitonger

    Msaada: Nahitaji mkopo usio na riba

    Naomba Mungu atokee Msamaria mwema...nimetingwa sana aisee.
  7. kitonger

    Msaada: Nahitaji mkopo usio na riba

    mkuu nilikua sifahamu..now mshanitoa tongotongo kua riba ni lazm...sasa tuendelee..mie sjui condition Riba itakuwaje kwa hiyo Pesa nayohitaji.
  8. kitonger

    Msaada: Nahitaji mkopo usio na riba

    Ndio maana nkaweka dhamana mkuu..ila kama Riba pia iwe riba nafuu..Maana nlijua ukiweka dhamana ya kitu au hati..Riba inakua excluded.
  9. kitonger

    Msaada: Nahitaji mkopo usio na riba

    Kwani mkuu nikishaweka dhamana kitu fulani,Riba inahusikaje hapo?
  10. kitonger

    Msaada: Nahitaji mkopo usio na riba

    Ndugu ndio nyie mkuu..Sina ndugu zaidi ya jf members.
  11. kitonger

    Msaada: Nahitaji mkopo usio na riba

    Mkuu ndio maana natoa hati..na sio kama kiwanja tupu..nimeinua mpk lenta..na ukipitiliza huo muda wa mkopo..Mkopeshaji aseme kipi kitaongezeka endapo muda wa marejesho ukizidishwa.
  12. kitonger

    Msaada: Nahitaji mkopo usio na riba

    Anayehitaji aje na conditions zake kama hizo hazijamtosheleza I
  13. kitonger

    Msaada: Nahitaji mkopo usio na riba

    Kisemvule karibu na stendi
  14. kitonger

    Msaada: Nahitaji mkopo usio na riba

    Wakuu habari ya muda huu, ninahitaji mkopo wa laki 7 usio na riba na nitalipa kwa miezi 5(Kila awamu ni Tsh.140000 au zaidi). Dhamana ni hati ya kiwanja nilichonunua 2019 kwa Tsh 1.3M..Nipo magomeni mwembechai. Aliye tayari karibu tuchat. Namba zangu ni 0654102984.
Back
Top Bottom