Recent content by Kitomai

  1. Kitomai

    JamiiForums Tanzania Car4Sale Ford ranger inauzwa - T/CQW

    Gari imara ya kazi na familia inauzwa! Taarifa za Gari: Make: Ford Ranger Mwaka: 2013 Namba: T479 CQW Body: Pick-Up Double Cabin Rangi: Nyekundu (Red) Engine: 3200cc - Diesel - Nguvu ya kweli, inakula milima! Viti: 5 Fuel: Diesel - Ni mchumi sana Imetoka: South Africa - Gari safi, sio ya...
  2. Kitomai

    JamiiForums Tanzania Dodown la chini ya ardhi (underground warehouse) linakodishwa – Upanga

    🏢 Eneo Bora | Fursa Adimu Godown kubwa la chini ya ardhi kwa matumizi mbalimbali: ✔ Waagizaji na Wasafirishaji wa Bidhaa ✔ Wasambazaji na Wauzaji wa Jumla ✔ Kampuni za FMCG na Usafirishaji ✔ Biashara zinazohitaji sehemu salama ya kuhifadhi bidhaa ⭐ Moja ya magodown makubwa ya chini...
  3. Kitomai

    JamiiForums Tanzania Toyota RAV4 Z imewasili!

    Furahia muonekano wa kisasa, teknolojia ya hali ya juu na safari zenye utulivu. Inakuja na Leather Seats, 360° Camera, Smart Key, Push Start, Power Back Door, LED Headlights na vipengele vingine vya kisasa. 💰 Bei: TSh 115,000,000 (Inajadiliwa) 📞 Piga simu/WhatsApp: 0717 114 409 Usikose nafasi ya...
  4. Kitomai

    JamiiForums Tanzania Toyota Harrier Anaconda 2016 inauzwa

    Unatafuta SUV ya kifahari yenye mwonekano wa kuvutia na kiwango cha juu cha ubora? Hii Toyota Harrier Anaconda 2016 ni chaguo sahihi kwako. Sifa za Gari: Rangi: Pearl White Modelista Body Kit Aftermarket Front Grille Viti vya Ngozi (Leather Seats) Muonekano wa kisasa na wa kifahari Bei: TSh...
  5. Kitomai

    JamiiForums Tanzania Subaru Forester XT 2008 inauzwa

    Unatafuta SUV yenye nguvu, mwonekano wa kisasa na inayofaa kwa matumizi ya kila siku? Hii ni fursa yako! Sifa za Gari: Turbo Engine Full Body Kit Push Start Viti vya Ngozi (Leather Seats) Roof Bars DVD Player Kamera ya Nyuma (Reverse Camera) Bei: TSh 26,500,000 Wasiliana: 0784 225 000...
  6. Kitomai

    JamiiForums Tanzania Toyota Vitz 2011 inauzwa

    Unatafuta gari zuri, imara na linalotumia mafuta kwa uchumi? Hii ndiyo nafasi yako! Sifa za Gari: Toyota Vitz Mwaka: 2011 Rangi: Nyeusi Engine: 1300cc VVT-i Gear: Automatic Push Start Bei: TSh 18,500,000 (Bei ya mwisho) Wasiliana: 0784 225 000 Piga simu kwa maelezo zaidi au kupanga muda wa...
  7. Kitomai

    JamiiForums Tanzania Apartment mpya ya kisasa inapangishwa – Makongo Juu

    Unatafuta nyumba yenye ubora, faragha na mazingira tulivu? Hii ni fursa yako! Sifa za apartment: Vyumba 2 vya kulala, vyote En-suite Sebule kubwa yenye mwanga wa kutosha Eneo la chakula (Dining Area) la kisasa kwa ajili ya familia Jiko zuri lenye nafasi ya kutosha Muonekano wa kisasa wenye...
  8. Kitomai

    JamiiForums Tanzania Warehouse zinapatikana Dar es Salaam

    Je, unatafuta warehouse katika maeneo ya viwandani Dar es Salaam? Ukubwa kuanzia 200 SQM na kuendelea Zinapatikana katika maeneo mbalimbali ya viwanda Zinafaa kwa biashara, uhifadhi wa bidhaa na shughuli za usambazaji Wasiliana nasi leo kwa maelezo zaidi na kupanga kutembelea eneo: 📞 0784 225 000
  9. Kitomai

    JamiiForums Tanzania Apartment of the day

    🏡 Close your eyes for a moment and imagine this... You wake up to the gentle morning sunlight streaming through large windows. You step onto your private balcony with a warm cup of coffee, enjoying the fresh breeze and peaceful surroundings. Inside, the spacious living room welcomes your...
  10. Kitomai

    JamiiForums Tanzania Ford ranger Limited inauzwa

    Unatafuta pick-up imara, yenye muonekano mzuri na tayari kwa matumizi? Hii ni fursa yako Ford Ranger Limited Namba C Ipo katika hali nzuri sana Imetunzwa vizuri Haina hitilafu, tayari kwa matumizi Bei: TSh 35,000,000 Inafaa kwa matumizi binafsi, biashara au shughuli za kampuni 0784225000...
  11. Kitomai

    JamiiForums Tanzania Fursa adimu ya kununua 1 BHK apartment – Upanga

    💰 Bei: TZS 156,000,000/- Mahitaji ya apartment za chumba kimoja na sebule (1 BHK) katika eneo la Upanga ni makubwa kuliko idadi ya nyumba zinazopatikana. Kutokana na uhaba huo, kodi za apartment zinazofanana zimefikia kati ya TZS 1,690,000 – 1,950,000 kwa mwezi, na kufanya eneo hili kuwa...
  12. Kitomai

    JamiiForums Tanzania Premium beachfront property for sale | Mikocheni, Dar es salaam

    Own a piece of one of Dar es Salaam’s most prestigious beachfront locations Mwai Kibaki Road, Mikocheni 2.5 Acres Direct access to the Indian Ocean Prime road frontage on Mwai Kibaki Road An exceptional investment opportunity ideal for: Luxury Apartments Beachfront Villas 5-Star Hotel...
  13. Kitomai

    JamiiForums Tanzania Nyumba ya Ghorofa inauzwa Mbezi Beach

    Je, unatafuta nyumba yenye eneo kubwa na fursa ya kuikamilisha kulingana na mahitaji yako? Hii ndiyo nafasi yako Eneo: Mbezi Beach Ujenzi umekamilika kwa 80% Ukubwa wa kiwanja: Square mita 1,400 Bei: TSh 600,000,000 (Mazungumzo yapo) Usikose fursa hii ya kupata nyumba katika eneo lenye...
  14. Kitomai

    JamiiForums Tanzania Apartment ya vyumba 2 inauzwa | Upanga

    Fursa nzuri ya kumiliki apartment katika eneo la Upanga, Dar es Salaam. Sifa za Apartment: ✔ Vyumba 2 vya Kulala ✔ Sebule yenye nafasi ya kutosha ✔ Jiko ✔ Choo na Bafu ✔ Maegesho ya Magari Yanapatikana ✔ Ipo Ghorofa ya Kwanza Bei: TSh 156,000,000 Eneo: Upanga, Dar es Salaam Kwa maelezo zaidi...
  15. Kitomai

    JamiiForums Tanzania Penthouse inauzwa Upanga

    Bei 286mil Furahia maisha ya kifahari katika Penthouse hii nzuri iliyopo ghorofa ya 13, yenye mandhari ya kuvutia ya jiji na huduma bora za kisasa. ✨ Sifa za Nyumba: • Vyumba 2 vya Kulala (Chumba Kikuu En-suite) • Jiko la Kisasa la Open Plan • Sebule na Eneo la Chakula • Balcony za Sebule na...
Back
Top Bottom