Ata sisi yanga tulipitia ayo na mlituchekaaaaaaa sanaaaaaaaaaaa sasa makolooooooooooooooooooooo nawaita tena mafuaaaaaaaaaaaaaa fc mkae kwa kutulia sindanoooooo iwaingie
Djeyiiiiiiiiiiiiiiii walete
mwaka jana mnajifariji mbona tulipoteza mechi 2 na ubigwa tulichukua mnajiuliza mpinzan wenu mwaka jana alikuwaje????
Sasa endeleeni kujifarijiiiiiiiii ila mtakuja shituka kumekucha.
Ulaya Marefa wanakosea sembuse mbogooo ndyo maana wakaleta VAR ruvu kushambuliwa sanaaaa kumewacost maamuzi ya refa yamewabeba Yanga timu ikiwa nzuri ngum sana mpinzan kuwazuia
Ukweli usemwe Yanga hii inacheza vzr ni vigum wapinzan kuwazuia Yanga dakika 90 uwanjani ni lzm utacheza mistake ambazo zitakuhukumu tu.
Ile kadi ni sahihi kabisa mtu wamwisho kachezewa rafu.
ile ya Sonzo kwanza kamchezea faulo Mayele pili ule mpira kaushika.
Timu siku zote ikiwa vzr yn utaona...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.