Recent content by kitokololoo

  1. kitokololoo

    Mpira ni strategy and plan ila Pablo hana

    Raha yangu nikuona simba inatesekaaaa
  2. kitokololoo

    Simba wameingizwa choo cha kike, kocha Pablo ni magumashi

    Ata sisi yanga tulipitia ayo na mlituchekaaaaaaa sanaaaaaaaaaaa sasa makolooooooooooooooooooooo nawaita tena mafuaaaaaaaaaaaaaa fc mkae kwa kutulia sindanoooooo iwaingie
  3. kitokololoo

    Siku za kocha Pablo wa Simba zaanza kuhesabika

    Makoloooooooooooooooooo mlibwanjeeeeee
  4. kitokololoo

    Mbeya City 1-0 Simba SC | Ligi kuu Tanzania bara | Mbeya

    Djeyiiiiiiiiiiiiiiii walete mwaka jana mnajifariji mbona tulipoteza mechi 2 na ubigwa tulichukua mnajiuliza mpinzan wenu mwaka jana alikuwaje???? Sasa endeleeni kujifarijiiiiiiiii ila mtakuja shituka kumekucha.
  5. kitokololoo

    Hivi ni kweli kuna maisha baada ya kifo?

    Bora uamini Mungu yupo hapa duniani kuliko usiamini ukaenda na ukamkuta
  6. kitokololoo

    Mabango ya GSM yaondolewa Uwanja wa Mkapa

    nimeamini simba na yanga ni kubwa kuliko tff
  7. kitokololoo

    GSM hawafai kudhamini timu

    wacha tuwachanganye makolooooooooooooo ili jumamosi tukate kichwa vzr
  8. kitokololoo

    Mwamuzi aliyechezesha mechi ya Yanga na Ruvu leo kama hajapewa hongo basi mechi ilimshinda

    YANGA HII ILOWAFUNGA NYINYI KWELI MLITEGEMEA IFUGWE NA RUVU SHOOTING?
  9. kitokololoo

    Mwamuzi aliyechezesha mechi ya Yanga na Ruvu leo kama hajapewa hongo basi mechi ilimshinda

    Ulaya Marefa wanakosea sembuse mbogooo ndyo maana wakaleta VAR ruvu kushambuliwa sanaaaa kumewacost maamuzi ya refa yamewabeba Yanga timu ikiwa nzuri ngum sana mpinzan kuwazuia
  10. kitokololoo

    Mwamuzi aliyechezesha mechi ya Yanga na Ruvu leo kama hajapewa hongo basi mechi ilimshinda

    Ukweli usemwe Yanga hii inacheza vzr ni vigum wapinzan kuwazuia Yanga dakika 90 uwanjani ni lzm utacheza mistake ambazo zitakuhukumu tu. Ile kadi ni sahihi kabisa mtu wamwisho kachezewa rafu. ile ya Sonzo kwanza kamchezea faulo Mayele pili ule mpira kaushika. Timu siku zote ikiwa vzr yn utaona...
  11. kitokololoo

    BYE BYE GOMEZ:

    Makolo makolo makolo nawaita wacha inyeshe tujue makolo jibuni
  12. kitokololoo

    Uongozi wa Simba kwa Hitimana tumeteleza

    makolo fc ngoja inyeshe tujue vzr panapo makolo jibuni.
  13. kitokololoo

    Saido Ntibazonkiza

    Kolo ww kina onyango, wawa,nyoni,kagere,bocco,mkude, wale si wazeeee??
Back
Top Bottom