Hapana bado cjamuona dr ila kuna dr nlimuulza kuhusu tatzo langu kuna cndano(sorry nmesahau jna la dawa) aliniambia nkachome...ila Dr mwngne alniambia hyo cndano ni ya kutulza maumvu na sio kutbu tatzo.
Habar wana jf,
Nina tatzo la tumbo kuniuma wiki moja kabla ya kuingia kwenye mzunguko wa hedhi.Maumivu nayapata chini ya kitovu na huwa makali sana na nikiingia kwenye mzunguko maumivu ninayoyapata ni tofauti na ya mwazo kabla sijaiingia.
Mwenye kujua dawa anisaidie kwani nashndwa kufanya kazi...
Habar wana jf smartphone haina ya ACER model number Z130 android version 4.2.2 inauzwa imetoka uholanz ina cover 2 bei ni lak 2 haipungui mawasiliano ni 0659-991891.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.