habari zenu wana jamii Forum!
nimesikia kua TTCL wameita watu kwa usaili kesho tarehe 06/10/2015 pale Institute of Adult Education Building kwa kada mbali mbali, aliye niambia yeye ametumiwa hizi taarifa kwa njia ya email, sasa naombeni kuuliza je kuna yeyote mwingine aliyeitwa?
Wadau hivi hawa jamaa wa PPF wanatoa majibu ya interviews zao baada ya muda gani? maana mmi nilifanya hii ya juzi jumamosi ila hawakuatoa taarifa yeyote kuhusu matokeo yatatoka lini na kwa mfumo gani?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.