Lowassa anafaa sana,,Mambo mengine ni siasa tu..Lowassa ndo mtu pekee anayeweza kuchachafya hawa viongozi wengine maslahi,,Ndo maana wanampinga sana,,Lowassa juu
Kwanza me kabla sijachangia hapa Yeriko na Swali moja tu kwako,Katka Chama chama Mapinduzi Ni nani unamuona anafaa kupitishwa Awanie Urais,?
Naomba tuanzie hapo kwanza kabla sijachangia hyo hoja yako,,Kuna sehemu umeongea vizuri na ukweli kuna sehemu Umetengeneza story Ionekane true story...
Lowassa Aliingizwa mkenge tu lkn wenye Richmond wapo na ndo wanaoendesha Vita ya kumpinga asingombee Urais,,Lowassa Ni mtu makini sana.,Na mwenye Maamuzi magumu..
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.