Recent content by KITICHAMUNGU

  1. K

    Kuna ukweli kwamba wadau wa siasa wanakutana kuinusuru katiba mpya?

    pale UKAWA wala sina Shida huku kuna Mbatia huku mbowe huku lipumba weee maccm lazima yatage hapo
  2. K

    Picha: Madiwani wa CHADEMA na magwanda yao warejea CCM wakiwa pamoja na Nape Nnauye na umati

    Mkuu,nasikia mmojawao kawa chizi baada ya ndoto ya m.20 kuzimika!
  3. K

    CHADEMA yawavua uanachama viongozi wawili Iramba

    ingekuwa jeshini vitani wangepingwa risasi wafilie mbali wasaliti hao.
  4. K

    Gari la serikali lapinduka likiwa na meno ya Tembo Manyara Kibaoni

    Naonga mkongo mawazo yako,huo ndiyo uhalisia wa huo mtandao vigogo wa serikali ni lazima wanajua.
  5. K

    Babu Seya, Papii Kocha wamlilia JK

    jamani inatiahuzuni! jela ni shida jela ni mateso.
  6. K

    Madiwani Wilayani Mwanga Wagawana Fedha Za Bajeti Ya Barabara

    Ukistaajabu ya h/w na mfuko wa jimbo,sogea mita chache mpaka kituo cha polis mwanga ndiyo kabisaa twafa,hasa kwa watu wa vjjn unapohitaji msaada utaambiwa gari halina mafuta,haya mhalifu akikamatwa dhamana laki 3 kesi haziendi mahakamani rushwa tupu!
  7. K

    Halima Mdee amlipua Mbunge Leticia Nyerere wa CHADEMA

    Huyo amesahahu kilichowapata wale madiwani wawili wa cdm kule shinyanga.
Back
Top Bottom