Benki ya CRDB wamekuja na huduma mpya inayoitwa Ada Loan. Ni bonge la ubunifu, lakini tatizo ni kwamba maafisa masoko wameifanya kuwa huduma ngumu sana kwa mteja kuipata.
Mfumo wa benki unazitaka shule zioanishe mfumo wa shule na mfumo wa CRDB ili mteja alipiwe ada ya mtoto wake.
Shule nyingi...
Chuo tayari kipo siku nyingi sema kilikua na miundo mbinu duni kwa sasa nasikia wanakiboresha kipo kule misungwi kinaitwa chuo cha elimu ya michezo Malya
Tatizo ni akili za wanaomba singeli yani ubongo wao wameuelekeza kwenye ngono, ushoga na bangi yani mtu anaimba niache nidange hata kwa mpalange na watu wanashangilia?
Nimeona video clip ambayo muheshimiwa waziri Kabudi anazungumza nia ya wizara yake kusimamia mchakato wa kuufanya mziki wa SINGELI kuwa mziki rasmi wa kuitambulisha Tanzania jambo ambalo sio sahihi kwa sababu zifuatazo:
Kwanza kabisa tayari Tanzania ina mziki unaoitwa Bongo fleva...
Umeongea kitu cha msingi sana lakini wachangiaji mada hawaonekani kama ungeandika umbea wa daimond na zuchu au mobeto na azizi ki maoni yangejaa kurasa na kurasa
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.