ZUNGU: MZIGO WA BARABARA NI MKUBWA MNO TUMIENI PPP
Spika Zungu Aikosoa Wizara ya Ujenzi awaambia “PPP ni Hitaji, Siyo Chaguo”
Spika wa Bunge, Mheshimiwa Mussa Azan Zungu, ameikosoa Wizara ya Ujenzi kwa kushindwa kuonyesha hamasa ya kuingia katika mfumo wa Ubia kati ya Serikali na Sekta Binafsi...
“Tuna Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan anayeelewa umuhimu wa sekta binafsi”
Msomi na mchambuzi wa sera za kiuchumi, Aurelia Kamuzora amesema changamoto ya upotevu wa maji na uchakavu wa miundombinu nchini inaweza kupungua kwa kiwango kikubwa iwapo sekta binafsi itapewa nafasi kubwa zaidi katika...
Katika salamu zake za Siku ya Mama Duniani kupitia ukurasa wake wa X (zamani Twitter), David Kafulila – Mkurugenzi Mkuu wa PPPC – amesema kwamba kufikia Dira 2050, ubora wa rasilimali watu ni kila kitu, na mengine yote ni ziada.
Amesema kuwa siku 1000 za mtoto kuanzia kutungwa mimba hadi umri...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.