Recent content by KiTanzania

  1. KiTanzania

    JamiiForums Tanzania Spika Mussa Hassan Zungu: Mzigo mzito wa barabara Serikali pekee haiwezi shirikisheni Sekta binafsi PPP

    ZUNGU: MZIGO WA BARABARA NI MKUBWA MNO TUMIENI PPP Spika Zungu Aikosoa Wizara ya Ujenzi awaambia “PPP ni Hitaji, Siyo Chaguo” Spika wa Bunge, Mheshimiwa Mussa Azan Zungu, ameikosoa Wizara ya Ujenzi kwa kushindwa kuonyesha hamasa ya kuingia katika mfumo wa Ubia kati ya Serikali na Sekta Binafsi...
  2. KiTanzania

    JamiiForums Tanzania VIDEO: Hili shangwe la Wabunge kwa Shaka Hamdu Shaka linamaanisha nini kwa Siasa za Sasa, Je arudishwe?

    Hizi Siasa za Sasa zinamuhitaji Shaka Hamdu Shaka
  3. KiTanzania

    JamiiForums Tanzania Kafulila: Daraja la Dar-Zanzibar kwa PPP litainua uchumi

    Hili tunalitaka
  4. KiTanzania

    JamiiForums Tanzania David Kafulila: Happy family day Tanzania

    😂😂Sijui kama ni neno zuri
  5. KiTanzania

    JamiiForums Tanzania Prof. Kamuzora: Sekta binafsi haiwezi kuvumilia mabomba yanayovuja ni wakati wa sekta binafsi kusimamia mamlaka za maji

    Haya Mameno ya maprof lazima kuyazingatia kama kweli tunataka kusonga mbele.
  6. KiTanzania

    JamiiForums Tanzania Prof. Kamuzora: Sekta binafsi haiwezi kuvumilia mabomba yanayovuja ni wakati wa sekta binafsi kusimamia mamlaka za maji

    “Tuna Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan anayeelewa umuhimu wa sekta binafsi” Msomi na mchambuzi wa sera za kiuchumi, Aurelia Kamuzora amesema changamoto ya upotevu wa maji na uchakavu wa miundombinu nchini inaweza kupungua kwa kiwango kikubwa iwapo sekta binafsi itapewa nafasi kubwa zaidi katika...
  7. KiTanzania

    JamiiForums Tanzania David Kafulila: Happy Mother's day | Zingatieni malezi ya watoto hasa siku zile 1,000 za kwanza.

    https://www.instagram.com/p/DYKWLQnN0xa/?igsh=MXVuMzdhaDlrbHp6MQ==
  8. KiTanzania

    JamiiForums Tanzania David Kafulila: Happy Mother's day | Zingatieni malezi ya watoto hasa siku zile 1,000 za kwanza.

    Katika salamu zake za Siku ya Mama Duniani kupitia ukurasa wake wa X (zamani Twitter), David Kafulila – Mkurugenzi Mkuu wa PPPC – amesema kwamba kufikia Dira 2050, ubora wa rasilimali watu ni kila kitu, na mengine yote ni ziada. Amesema kuwa siku 1000 za mtoto kuanzia kutungwa mimba hadi umri...
Back
Top Bottom