ailiyekwambia imeshushwa kama jiwe nani? imeshushwa kwa maana ya kuletwa kutoka mbinguni kuja duniani kwa njia ya Wahay (hisia/mawasiliano ndania ya mwili wa mtume) na wakati mwingine kuletwa na malaika jibril A.S .
Na pindi inaposhuka aya za Quran maswahaba za mtume ma wake zake hushuhudia na...
Tafafhalini simu yangu aina ya LG G 3 inazingua Niki connect Internet camera haifanyi kazi nimesha I factory restore inakua kawaida ila uki configure internet camera ina stack haionyeshi tatizo ni nini?
kwa siasa za kihafidhina Zanzibar Salum Mwalimu atausikia Ubunge kwenye Bomba siku zote Salum Mwalimu alikua akiishi bara kwaiyo kule ataonekama kama pandikizi la watu wa bara.matokeo yake CCM itachukua hill jumbo na ile dhana ya chadema kuikomoa CUF itakua imetimia
naaikia harufu ya ccm...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.