Recent content by kitangiri

  1. K

    Humphrey Polepole live Channel Ten: Urais katika Jamhuri ya Muungano wa Tanzania

    unachosha akili yako kwenye jambo la kipuuzi kiasi hiki si bora ungefanya jambo lingeweza kukuingizia kipato kuliko kuishi kwa matumaini
  2. K

    Habibu Mchange yupo Star TV anaichana CHADEMA

    kwasababu anaongea ukweli ambao masikio yako hayataki kusikia.Chadema is one of the Coward party ever in this earth
  3. K

    Habibu Mchange yupo Star TV anaichana CHADEMA

    kwasababu anaongea ukweli
  4. K

    Quran ya wakati wa Mtume SAW

    ailiyekwambia imeshushwa kama jiwe nani? imeshushwa kwa maana ya kuletwa kutoka mbinguni kuja duniani kwa njia ya Wahay (hisia/mawasiliano ndania ya mwili wa mtume) na wakati mwingine kuletwa na malaika jibril A.S . Na pindi inaposhuka aya za Quran maswahaba za mtume ma wake zake hushuhudia na...
  5. K

    Msaada kwenye tuta: Maajabu ya simu yangu

    unawezaje Ku disconnect camera moja
  6. K

    Msaada kwenye tuta: Maajabu ya simu yangu

    Tafafhalini simu yangu aina ya LG G 3 inazingua Niki connect Internet camera haifanyi kazi nimesha I factory restore inakua kawaida ila uki configure internet camera ina stack haionyeshi tatizo ni nini?
  7. K

    Lembeli: Lowassa naye asafishwe

    wewe una kichwa cha bata inamaana umesahau kuwa muhongo na maswi waliundiwa tume ya uchunguzi ili kujiridhisha?
  8. K

    Salum Mwalimu Kugombea ubunge Zanzibar kwa tiketi ya CHADEMA

    kwa siasa za kihafidhina Zanzibar Salum Mwalimu atausikia Ubunge kwenye Bomba siku zote Salum Mwalimu alikua akiishi bara kwaiyo kule ataonekama kama pandikizi la watu wa bara.matokeo yake CCM itachukua hill jumbo na ile dhana ya chadema kuikomoa CUF itakua imetimia naaikia harufu ya ccm...
Back
Top Bottom