Siku za karibu Meya wa Moshi Japhary Michael Chadema ameonekana akipenda zaidi kutumia usafiri wa bodaboda katika majukumu yake ya hapa na pale,hata baada ya kumalizika kwa baadhi ya mikutano ameonekana akipanda pikipiki maarufu kama bodaboda ili kuweza kusalimiana na wananchi wake.
Hofu...
Mbunge wa Mwanga Jumanne Magembe ambaye pia ni Waziri wa maji ni miongoni mwa waziri ambao wamekwishawahi kukabidhiwa wizara mbalimbali lakini Jimbo lake ni Miongoni mwa majimbo yaliyopo nyuma kimaendelea Mkoani Kilimnjaro na kero nyingi kwa wananchi.
Sina maana kuwa apendelee jimboni kwake la...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.