Vizuri umeuliza swali hili Kidini iko hivi ns nategemea baada ya hii futa huo upotofu uliodanganywa nao,
Iko hivi kidini;
Waislam- wote sisi ni kwa Mungu na kwake tutarejea. Watu wote sawa mbele ya Mungu. Mwarabu sio bora kwa asiyekuwa Mwarabu. Aliyekuwa bora zaidi katika sisi ni aliyekuwa...
Mashabiki wa kiyahudi walikuja kuishangilia timu yao kisha wakasahau kama hawako huko kwa nyetanyahu wakaanza uchokozi, kuchokoza Wapalestina. Waarabu sio wao pekee mpaka na wazungu na wengine wakawapa kichapo cha heshma na adabu🤣, Sasa hao wanapiga kelele za nini(?) “ Palestinians have the...
Miaka 1400 zaidi mpaka leo mlipewa challenge na mpaka leo hata kosa moja halijapatikana. Hata unaweza kuingia ki ushetani kwa kujivalisha kanzu. Wote waliosoma na kuifahamu hawakuwa na budi ila kuingia uislam, uislam ni dini inayokua kwa speed kubwa.
Ni shetani mtu. Mpaka Mbunge Mzungu mkatoliki wa Ireland nchi ya wazungu anamuombea aingie motoni mkali . Mpaka analia
https://youtu.be/H21edCN3Q7c?si=2GzCktClYUTT2nju
Israel Zionist ni cancer ya dunia. Wamewateka mpaka na huku kuamini wao ndio watoto wateule, kumbe ni wafisadi wakuu na wauwaji wakuu. Hawa mapadri wa kizungu walihongwa hela kusadikisha habari hizo, wateule hao hao hawamuamini Yesu wala ukiristo. Wanamuona Yesu mwanaharamu na mama wa Yesu Maria...
Nitakueimisha. Mbunge wa Ireland nchi ya Ulaya iliyo na Wakiristo wa Protestant na Roman Catholic ni nchi inayotetea haki sawa za binadamu wote. Mbuge huyu anamuombea Benjamin Netanyahu aingizwe motoni akifa tena ule moto uliowaka saana kwa sababu kauona ukatili wake wa kupindukiA.
Je wewe...
Wanafurahi kuleta mfarakano baina ya Waislam iwe divide and rule. Na ndio maana tunaona matokeo haya. Iran imesimama kutetea wanyonge wanaouwawa ovyo kukiuka sheria zote za vita duniani na mchochezi mkuu wa mauaji haya ni Marekani ambayo watawala wake wanaamrishwa na natanyahu shetani mkuu wa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.