Baada ya kuomba kazi humu na kutumia neno kuwa kazi iwe halali ama haramu...watu wakaogopa..lakini kotekote Cha muhimu uaminifu....Sasa nimepata kazi nashukuru Mungu...ingawa sio kwa connection za JF lakini mlio Jamiiforum mnaotafta ajira msikate tamaa..Ombeni Mungu...Msi sex ndani ya siku...
Najua nimewaogopesha...lakini mi Ni muaminifu ...na kusema haramu haimaanishi mi sio muaminifu boss...Ni kua hapo maji yako shingoni..hivo Niko tayari kwa lolote
Narudi Tena kijana wenu kuomba kazi najua humu wapo maboss wakubwa naweza kufanya Kazi yoyote ile ya kutumia nguvu..au
.sales & marketing....mlinzi maana sijapita jkt lakini Niko fiti...mwenye kazi yoyote aniwezeshe..Niko Moro...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.