Recent content by Kisuba Banturaki

  1. Kisuba Banturaki

    Kagame: Ninaamini Mahali kunakofanyika mapinduzi lazima kuna kitu kisicho sahihi kimekuwa kikiendelea

    Munaongea mambo yaku chekelea! Mumelewa amani za huko kwenu njo munarusha mabomu za maneno bila ya kufikiri kwanza. Lakini mukumbuke kwamba malipo ni hapahapa. Mutu yeyote anahusika ktk kumwanga damu ya wa kongo wasio na hatia wajue kama kuna muhukumu juu. Gadaffi, sadam hussen, mobutu ama...
  2. Kisuba Banturaki

    Kagame: Ninaamini Mahali kunakofanyika mapinduzi lazima kuna kitu kisicho sahihi kimekuwa kikiendelea

    Mpaka pale hamuja nipajibu sahihi, mimi sio kiongozi wa nchi lakini ni raia masikini wa kawaida, lakini nyote hakuna hata wa kunitia moyo, munajibu kama munajadili na tshisekedi mwenyewe! Mimi hata kumjua simjui namuona tu kwa ma taswira za mtandaoni pia nimezaliwa hapanorth kivu ishasha drc...
  3. Kisuba Banturaki

    Kagame: Ninaamini Mahali kunakofanyika mapinduzi lazima kuna kitu kisicho sahihi kimekuwa kikiendelea

    Sasa unapatia wakongomani wote waiza gani, mbona wameteseka
  4. Kisuba Banturaki

    Kagame: Ninaamini Mahali kunakofanyika mapinduzi lazima kuna kitu kisicho sahihi kimekuwa kikiendelea

    Sisi kama wa kongomani kutoka DRC tume sisitiza kwa viongozi wa dunia walio nauwezo wa kumaliza vita vya muda mrefu nchini kongo kwamba tumechoka, kila aina ya unyanyasaji tumevumilia lakini tumeshindwa! sasa tunaomba UN,USA,EU,AU wakusanye pesa wanunue nuclear warushie inchi hiyo sote tufariki...
  5. Kisuba Banturaki

    Tetesi: Kumbe Museven ni mtusi pamoja na mke wake Waganda wamelala mno

    Tujaribu kuacha tabia za ubaguzi wa makabila, mtusi ni kama kabila lako wewe pia, na tuzidi kuvala maumivu ya wengine ndio tuhukumu, watusi huko RWANDA kwa enzi za zamani walifanyiwa mauaji ya kimbari ambayo mpaka sasa ingawa TANZANIA watu wamekufa kwa maandamano lakini sikama lile la RWANDA...
  6. Kisuba Banturaki

    Nimesoma bandiko la mwandishi wa habari Twitter kwamba kuna watanzania wameanza kupewa silaha na Kagame

    Wana-TANZANIA msifanye hivyo! inchi yenu itaharibika, kama rais samia amepita bila ninyi kumpenda, muvumilie atatoka tu baada ya muhula wake kuisha, bila hivyo mujifunze kuhusu kongo drc!
  7. Kisuba Banturaki

    Wiki mbili baadaye, jumuiya ya kimataifa bado haijawatupa mashujaa wa Tanzania

    Na hata sisi wana DRC tunaendelea kuwapa pole ndugu zetu waTANZANIA, pole sana, haki za kibinadamu hazipo tena, hata sisi tuna meendelea kukufa tangu 1994 wakati tulipokea wakimbizi kutoka rwanda mpaka sasa tunakufa kila siku bila wakutuonea huruma, basi Mungu pekee ndie ajuae mwisho wa utawala...
Back
Top Bottom