Recent content by Kisosi_og

  1. Kisosi_og

    Tuambiane kuhusu biashara ya Car Wash

    Tusipende kukatisha ndoto za watu kwa sababu ya sheria za kiserikali, kiujumla reseni za mariasili ni rafiki sana nenda kwenye ofisi unayotaka kuvuna mbao utapewa kibali kwa kufuata sheria za eneo husika, na ukitaka kuweka ofisi mjini nenda ofisi za wilaya hyo ya mjjni utapata bila shida
  2. Kisosi_og

    CAG mstaafu Uttoh: Hakuna Shirika lolote la ndege duniani lililopata faida baada tu ya kuanzishwa, ATCL haijawahi kulipa Gawio Serikalini

    Mkuu wabongo hatupendi kusoma na kufuatilia facts jamii nzima bali wanajali hali zao privately hvyo ukileta story za deflation na inflation wanahsi unawanyina haki yao kiuchumi
Back
Top Bottom