Recent content by Kisonoko Mlamba ukoko

  1. K

    DOKEZO Kinachofanyika Kibaha Kidimu ni dhuruma ya mabavu ya waziwazi

    Na hapa tuko nje tunaiangalia serikali maana tunakokwenda tutakuwa hatununui Ardhi Tena, haiwezekani mnavamia mnauziwa kwa 1500 kwa mita mraba halafu sisi upstanding citizen ambao hatuipi serikali shida tunauziwa kwa 6000, ni kama serikali inadekeza wahalifu halafu inawaadhibu wananchi watunza...
  2. K

    DOKEZO Kinachofanyika Kibaha Kidimu ni dhuruma ya mabavu ya waziwazi

    Sasa kuna bei ya 6000 badala ya 1500 hii imetoka wapi?
  3. K

    DOKEZO Kinachofanyika Kibaha Kidimu ni dhuruma ya mabavu ya waziwazi

    Hiyohiyo ya Lumumba,Pangani na Mkombozi,mimi nimeenda nikapewa bili ya 6000/square meter,wewe umeuziwa lini? Alafu ebu fikiria unauziwa eneo na mtu analipia alafu unaenda tena kulipia serikalini fedha ya nini?
  4. K

    DOKEZO Kinachofanyika Kibaha Kidimu ni dhuruma ya mabavu ya waziwazi

    Kinachofanyika Kibaha Kidimu ni dhuruma ya mabavu ya waziwazi, watu wanapokonywa umiliki wa maeneo yao hata baada ya kuyamiliki kwa zaidi ya miaka ishirini na kuambiwa wayanunue, wakati wapo watu waliouziwa na wenyeji kwa usimamizi wa serikali ya kijiji na wamefanya maendeleo ya kudumu vikiwemo...
Back
Top Bottom