Recent content by kishumbaz

  1. kishumbaz

    JamiiForums Tanzania FT: Namungo FC 1-3 Yanga SC | Ligi Kuu | Majaliwa Stadium | 15 Agosti, 2026 | Wenye Pesa Mfuko wa Shati hawataki utani

    Huyu Kangwanda anapiga pass mkaa nyingi zinazoua rhythm ya timu
  2. kishumbaz

    JamiiForums Tanzania Ali Kamwe: Kesho tunamtambulisha Wata Pleya wetu Uwanja wa KMC ambaye hapatikani kwa michango ya mashabiki

    Kwa hizi stats bado Aziz Ki ni wa moto!
  3. kishumbaz

    JamiiForums Tanzania Shida ya Simba ni Mangungu kutumia busara zake badala ya Katiba ya Simba kuongoza timu.

    Na upuuzi wake wa busara bila sheria wahun wanaenda kumng'oa, dunia hainaga fair!
  4. kishumbaz

    JamiiForums Tanzania Magori: Selemani Mwalimu mchezaji gani yule wa kumlipia Tsh. Bil. 1 kwa mkopo?

    Labda experience ila education na exposure akitanua tu domo lake unajua ni zero😄
  5. kishumbaz

    JamiiForums Tanzania Magori: Selemani Mwalimu mchezaji gani yule wa kumlipia Tsh. Bil. 1 kwa mkopo?

    Yule mzee ubongo ushachoka, bado anaishi kizaman🤣
  6. kishumbaz

    JamiiForums Tanzania Juma Ayo ana IQ ndogo sana. Inakuwaje Crown Fm wanampa majukumu yanayozidi uwezo wake?

    Changamoto ya waandishi wa michezo asilimia kubwa wanafanya mahojiano wakiwa na interest zao!
  7. kishumbaz

    JamiiForums Tanzania Shida ya Simba ni wanachama sio MO wala Mangungu, waliponzwa na Manji. Katiba ya Simba ni vuluvulu

    Mitandaoni na maredioni yamejaa maroboti kibao yanapiga mapambio mwanzo mwisho, kazi yao ni kuikosoa Yanga na kusifia Simba!
  8. kishumbaz

    JamiiForums Tanzania Mangungu: Mwenyekiti wa Bodi anapinga vipi Mkutano wa Wanachama wakati hatokei upande wao?

    Kanji, janja janja mingi mule🤣🤣🙌
  9. kishumbaz

    JamiiForums Tanzania TFF imepitisha Kanuni mpya—Timu isipoingia Dressing Room, itakatwa alama 5

    Huyu mzee achapwe kibao kimkumbushe utamaduni wa Simba na Yanga, nadhani haelewi tokea miaka hiyo Simba na Yanga zilikuwa na utamaduni huo wa kutoingia vyumbani au kuruka ukuta, hivyo ndiyo vitu vinavoleta vibe la usimba na uyanga! Ushabiki wake wa Simba anaoleta kwenye uongozi utamfanya...
  10. kishumbaz

    JamiiForums Tanzania PETER SHALULILE rasmi ni mwananchi Yanga. Asante GSM kwa kuendelea kuonyesha upendo

    nkimcheki veteran Mayele anavyokiwasha ligi ya. mabingwa, nkichungulia uhaba wa wafungaji afrika, nkiwaangalia waarabu mfano Al Ahly walivyojaza wahenga na wanavyosumbua ligi ya mabingwa, nikirudi kwa chama langu Chelsea kumtaka Welbeck! Najipiga kifua kwamba huyu bwa mdogo Shalulile atafunga...
  11. kishumbaz

    JamiiForums Tanzania Karia: Nataka kuifuta ligi ya under 20 kuna udanganyifu wa umri sana!

    Huyu mzee hafai kuwa kiongozi wa mpira nchi hii! Anatakiwa alambwe Kofi limkumbushe kuwa timu bora ya taifa inajengwa na misingi ya timu bora ya vijana, bila ligi ya vijana hao watoto wataendelezea wapi vipaji vyao!
  12. kishumbaz

    JamiiForums Tanzania Young Africans Sports Club (Yanga) | Special Thread

    Kama ni kweli mnataka kumsajili Moris Chuku, hii ni sajili mbovu haita upgrade chochote, Bora mumchuku Akamiko au ikishindikana mbaki na Damaro
  13. kishumbaz

    JamiiForums Tanzania VIDEO: Hawa ndio kuku na mayai yao tunalisha familia zetu. Nawaonea wivu watu wa mikoani kuwa na access na kuku wa kienyeji kila kona na kwa ukaribu

    Mayai ni mayai na virutubisho ni vile vile, ila kuna myai salama kwa afya yako na ambayo si salama pia, mfano mayai ya kuku wanaopigwa buster za madawa daily...hayo ni hatari kwa afya yako na familia yako mkuu
  14. kishumbaz

    JamiiForums Tanzania Je ni rahisi Timu ya Azam, kuhama ligi ya Tanzania Bara, na kuhamia Zanzibar?! Tupitie hapa Tuone...

    Simple tu ananunua timu zanzibar anaibadilisha jina na kuiita Azam
  15. kishumbaz

    JamiiForums Tanzania Uongozi: Klabu ya Azam kwetu ni hasara sana. Haina faida yoyote ndo maana ni bora tujitoe tu

    Soon ligi itaporomoka viwango, hakuna sponsors wataowekeza kwenye ligi ambayo ina makandokando, Timu zinawekeza, viongozi TFF na usimba wao wanawaza kumbeba mwanao, kisa aliwasapoti kwenye uchaguzi!
Back
Top Bottom