Huyu mzee achapwe kibao kimkumbushe utamaduni wa Simba na Yanga, nadhani haelewi tokea
miaka hiyo Simba na Yanga zilikuwa na utamaduni huo wa kutoingia vyumbani au kuruka ukuta, hivyo ndiyo vitu vinavoleta vibe la usimba na uyanga!
Ushabiki wake wa Simba anaoleta kwenye uongozi utamfanya...
nkimcheki veteran Mayele anavyokiwasha ligi ya. mabingwa, nkichungulia uhaba wa wafungaji afrika, nkiwaangalia waarabu mfano Al Ahly walivyojaza wahenga na wanavyosumbua ligi ya mabingwa, nikirudi kwa chama langu Chelsea kumtaka Welbeck!
Najipiga kifua kwamba huyu bwa mdogo Shalulile atafunga...
Huyu mzee hafai kuwa kiongozi wa mpira nchi hii!
Anatakiwa alambwe Kofi limkumbushe kuwa timu bora ya taifa inajengwa na misingi ya timu bora ya vijana, bila ligi ya vijana hao watoto wataendelezea wapi vipaji vyao!
Mayai ni mayai na virutubisho ni vile vile, ila kuna myai salama kwa afya yako na ambayo si salama pia, mfano mayai ya kuku wanaopigwa buster za madawa daily...hayo ni hatari kwa afya yako na familia yako mkuu
Soon ligi itaporomoka viwango, hakuna sponsors wataowekeza kwenye ligi ambayo ina makandokando,
Timu zinawekeza, viongozi TFF na usimba wao wanawaza kumbeba mwanao, kisa aliwasapoti kwenye uchaguzi!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.