Yanga, Simba, Azam ni mwendo wa sare, Kocha yanga ni tatizo, wakijastuka itakuwa too late, Azam ni hatari kwa Simba na Yanga, akishinda kesho gap linabaki point 5, namtabiria Azam ubingwa msimu huu✍️✍️✍️
Mwaka huu Yanga hakuna kocha wa kuipa ubingwa, timu inacheza dakika 90 hakuna shot on target, mechi 3 mfululizo Diarra kaikoa timu, narudia tena Shekhan ana offer vitu vingi uwanjani kuliko Okelo✍️
Kwa huu uchezaji wa hii timu kuna kaarufu nakapata ka either kufungwa au ku draw moja wapo ya mechi 3 kuanzia leo
Huyu kocha aelezwe ukweli ili kupata ushindan miongoni mwa wachezaji anatakiwa afanye rotation, kina Yao. Boka, sure boy, shakhan wanafanya nn🚮🚮
Kocha mizenguo sana unapoamua kupaki basi Okelo si wakumuanzisha, Weka watu wa kupress kama kina Mudathiri
Changamoto nyingine kocha hana uzoefu wa hii michuano, nlimaliza kumpima uzoefu wake kwenye ile comment ya kulalamika kukosekana kwa mashabiki uarabun
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.