Recent content by kishumbaz

  1. kishumbaz

    JamiiForums Tanzania Yanga na GSM zasaini mkataba wa ujenzi wa uwanja wa Yanga

    Wabongo wanalamika picha za ramani ya uwanja ni AI, hawajui dunia inahamia kwenye hiyo tekinolojia kurahisisha mambo🤣 😕
  2. kishumbaz

    JamiiForums Tanzania Hatimaye Yanga yapata mbabe Ligi Kuu, YABAMIZWA na Dodoma Jiji magoli 3-2

    Siku mbaya kwa wachezaji wa Yanga, ila kocha game management ilimshinda, kitendo cha kumtoa Max, Mdathiri na kumuingiza Buba timu ikakosa balance
  3. kishumbaz

    JamiiForums Tanzania Askofu Bagonza: Hivi sasa KKKT haisemwi vizuri. Hakuna dhambi tunayoikemea ndani ya kanisa ambayo hatuitendi wenyewe

    Kanisa langu la urithi linaangamizwa na viongozi wasio na maono 😔 😟
  4. kishumbaz

    JamiiForums Tanzania Full Time| Mtibwa Sugar 1 -1 Yanga SC | Ligi kuu NBC | Jamuhuri stadium | Machi 21, 2025

    Yanga, Simba, Azam ni mwendo wa sare, Kocha yanga ni tatizo, wakijastuka itakuwa too late, Azam ni hatari kwa Simba na Yanga, akishinda kesho gap linabaki point 5, namtabiria Azam ubingwa msimu huu✍️✍️✍️
  5. kishumbaz

    JamiiForums Tanzania Full Time: TRA United 0 🆚 0 Young Africans SC, Machi 18, 2026, Uwanja wa Sheikh Amri Abeid

    Mwaka huu Yanga hakuna kocha wa kuipa ubingwa, timu inacheza dakika 90 hakuna shot on target, mechi 3 mfululizo Diarra kaikoa timu, narudia tena Shekhan ana offer vitu vingi uwanjani kuliko Okelo✍️
  6. kishumbaz

    JamiiForums Tanzania Full Time: NBC PL | Azam FC 0-0 Yanga SC | Mkapa Stadium | 15/03/2026

    Dakika ya 80 Yanga hawana shot on target na kocha amejaza ma strikers mbele wakati timu haitengenezi nafasi, hakuna kocha humu🚮🚮
  7. kishumbaz

    JamiiForums Tanzania Full Time: NBC PL | Azam FC 0-0 Yanga SC | Mkapa Stadium | 15/03/2026

    Yanga mechi kubwa ni mwendo wa kupaki basi 😔 🙌
  8. kishumbaz

    JamiiForums Tanzania Full Time: NBC PL | Singida BS 0-3 Young Africans | Airtel Stadium | 05/03/2026

    Kwa huu uchezaji wa hii timu kuna kaarufu nakapata ka either kufungwa au ku draw moja wapo ya mechi 3 kuanzia leo Huyu kocha aelezwe ukweli ili kupata ushindan miongoni mwa wachezaji anatakiwa afanye rotation, kina Yao. Boka, sure boy, shakhan wanafanya nn🚮🚮
  9. kishumbaz

    JamiiForums Tanzania Bei ya Mafuta yapanda katika bandari zote kuanzia Machi 4, 2026

    Hivi Kenya na Rwanda napo mafuta yamepanda kutokana na hii vita!
  10. kishumbaz

    JamiiForums Tanzania FT: NBC PL: Yanga 0-0 Simba | New Amaan Complex | 01.03.2026 | 08:15PM EAST

    Huyu ni kocha wa watoto hana sifa ya kufundisha timu kubwa kama Yanga
  11. kishumbaz

    JamiiForums Tanzania FT: NBC PL: Yanga 0-0 Simba | New Amaan Complex | 01.03.2026 | 08:15PM EAST

    Yanga tutafute kocha. Mwarabu hawa wazungu hakuna kitu wanajua zaidi ya ego🚮🚮
  12. kishumbaz

    JamiiForums Tanzania FT: NBC PL: Yanga 0-0 Simba | New Amaan Complex | 01.03.2026 | 08:15PM EAST

    Hii mechi wachezaji wa yanga wanacheza kama wamevimbiwa daku🚮🚮
  13. kishumbaz

    JamiiForums Tanzania Young Africans Sports Club (Yanga) | Special Thread

    Yanga acheni uduanzi huyu Kouma anamzidi kipi Shakhan🚮🚮🚮
  14. kishumbaz

    JamiiForums Tanzania FT: Young Africans SC 3-0 JS Kabylie | CAF Champions League | New Amaan Complex | Feb 15, 2026

    Dube na Depu mikimbio yao siyo sahihi wanachanganyana, namna yanga wanavyocheza sitoshangaa wakifungwa goli la kushtukizwa
  15. kishumbaz

    JamiiForums Tanzania FT: Far Rabat 1-0 Yanga SC | CAF Champions League | Olympique de Rabat | Februari 7, 2026

    Kocha mizenguo sana unapoamua kupaki basi Okelo si wakumuanzisha, Weka watu wa kupress kama kina Mudathiri Changamoto nyingine kocha hana uzoefu wa hii michuano, nlimaliza kumpima uzoefu wake kwenye ile comment ya kulalamika kukosekana kwa mashabiki uarabun
Back
Top Bottom