Recent content by kishki 45

  1. K

    JamiiForums Tanzania Faida na hasara za kuoa mwanamke msomi na mwenye kazi na kipato kizuri

    We unasema umesoma sana uko na degree lkn sioni masomo yko yakikusaidia ndo kwanza akili zimekua finyu.we fanya kazi alafu uwe na mpango wa kumfungulia biashara...apo utakua umepiga hatua mbele nyote wawili
  2. K

    JamiiForums Tanzania Faida na hasara za kuoa mwanamke msomi na mwenye kazi na kipato kizuri

    Daah tunashida wallahi ndo sabbu ndoa haziwezi dumu kwa mitizamo kama hio,kama binti ana tabia nzur ni mwaminifu basi usiangalie eti lzma awe na kazi au msomi.jiamini mwanaume
  3. K

    JamiiForums Tanzania Remove sex from a relationship, women have nothing to offer. Is it true?'

    Mwanamke hana shida,shida ni mwamaume kuchagua binti asie na tabia.na pia wanaume hawa tabia sio tu wanawake.na lau watu watafwata mafundisho ya ndoa kulingana na mafunzo sidhani kutakua na haya matatizo na talaka kila wkt.
  4. K

    JamiiForums Tanzania Marriage (What it is and why we do it)

    Ndoa ni mkataba unaohalalisha mahusiano ya mume na mke.umuhimu wa ndoa 1.mwanzo ni ibadaa 2.inazuia uzinifu 3.inapanua ukoo 4.kwa imaani ya kiislamu ukifa bado utakua ukipata jazaa ya matendo yko kupitia watoto wko kama utakua umewalewa kisawasa. Ima pia ndoa ni mitihani yke na ili kiepuka io...
  5. K

    JamiiForums Tanzania Remove sex from a relationship, women have nothing to offer. Is it true?'

    Jameni tuache kua tukikashifu wanawake kila wakati.pia sisi wanaume wengi hatudhamini wanawake ktk ndoa.lazma tuangalie both sides of the coin.kusema kweli mwanamke ana play role kubwa ktk jamii.u can do with out money but u cant do with out a woman,ndo sabbu ata peponi wko lkn akuna mali...
Back
Top Bottom