Pole sana mkuu,nakumbuka miaka ile ya nyuma wakati wa Magufuli walipoifuta SSRA kuna mdada alihamishiwa Halmashauri aisii aliacha kazi maana akikumbuka asali aliyokuwa anailamba akiwa SSRA na uko alikohamishiwa ni kama Mbingu na Ardhi ila uzuri alikuwa keshainvest vya kutosha,huku maofisin kuna...
Wote wako vizuri ila TCRA ni habari nyingine kabsaa wale ndo wanalamba asali ya nchi, miposho kama yote ila shda ipo kwenye kupata nafasi za kuhamia taasisi kama hizo maana vigogo wote wanatamani watoto wao waende hapo, so competition yake sio poa maana kila mtu anapatolea macho
Hlf tukumbushane tu wakuu,kabla ujafanya maamuzi ya kuhamia sehemu hakikisha umefanya utafiti wa kutosha uko unakotaka kuhamia kukoje??vinginevyo unaweza jutia kwa nn ulifanya uamuzi wa kuhama
NB:uhamisho ni haki ya mtumishi
Umetisha mkuu hapo namba 5 upande wa mfuko wa mawasiliano kwa wote(UCSAF) ni balaa tupu,tuliwahi shiriki nao michezo ya kuvuta kamba wote ofisi zima wana vitambi
Hlf kwa jinsi mfumo ulivyo,kama nafasi haiko budgeted au kwa sababu nyingine yeyote inakukatalia mapema kabsaa wakati wa kuomba vacancy request kabla ya hatua inayofuata ya kuinitiate transfer request
Mie nina ushuhuda mkuu kuna jamaa kapata kibali cha uhamisho kupitia huo utaratibu wa auto,na hakupata changamoto yeyote wakati wa kuinitiate transfer request
Mkuu sorry!!!naomba nipate ufafanuzi kidogo ,hv upande wa attachment kule kwenye vacancy request je unaattach CV tu au ni pamoja na barua ya maombi ya kuomba kuhamia uko unakotaka kwenda??
Da mie mwenyewe niliwahi fanya kama Loan officer kwenye Taasisi mojawapo ya mikopo ipo wilaya ya Bunda Mkoa wa Mara,kuna siku nipo katika harakati za kufatilia marejesho cna hili wa lile kilitokea kimbunga hicho cjui hata kilipozuka aisiii kule kuna wanga balaa nikaona isiwe tabu nikaachana nayo...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.