Recent content by kishapu boy

  1. K

    JamiiForums Tanzania Responded Waraka wa Katibu Mkuu kuhusu MUDA WA KUSHUGHULIKIA MAOMBI YA UHAMISHO KUPITIA MODULI YA e-UHAMISHO

    Mkuu sorry!!!naomba nipate ufafanuzi kidogo ,hv upande wa attachment kule kwenye vacancy request je unaattach CV tu au ni pamoja na barua ya maombi ya kuomba kuhamia uko unakotaka kwenda??
  2. K

    JamiiForums Tanzania List ya kazi ambazo ukifanya yakupasa uwe na roho ngumu

    Da mie mwenyewe niliwahi fanya kama Loan officer kwenye Taasisi mojawapo ya mikopo ipo wilaya ya Bunda Mkoa wa Mara,kuna siku nipo katika harakati za kufatilia marejesho cna hili wa lile kilitokea kimbunga hicho cjui hata kilipozuka aisiii kule kuna wanga balaa nikaona isiwe tabu nikaachana nayo...
  3. K

    JamiiForums Tanzania GE2025 Abdulkareem Atiki: Mama Samia ni muumini mkubwa wa demokrasia

    Huyu ponjoro kuna wakati kama hamnazo
  4. K

    JamiiForums Tanzania PBZ wananizingua; Kuna benki yoyote inayotoa mkopo 'online' (katika ESS) ndani ya siku mbili niwakimbie hawa?!!!

    Exim wapuuz mwaka jana waliniweka kama week 2 nikaona bora nirud NMB
  5. K

    JamiiForums Tanzania Orodha ya Taasisi za Umma na Binafsi zenye 'njaa kali'

    TCB njaa ni ya kiwango cha juu,nilishangaa kumkuta had Branch Manager wa tawi fulani kwenye zile interview za TRA pale sabasaba ground
  6. K

    JamiiForums Tanzania Naomba kufahamu haya machache kuhusu ASA MICROFINANCE

    Na asisahau pia kuna wateja sugu hapa lazma sura iwe na mikunjo ya kutosha hlf ujue pia kuruka ukuta maana kuna wateja wana balaa waliwah mfungulia mbwa mshikaji wangu,hawakumkuta eneo la Biashara wakaenda kumdai nyumbani kilichowakuta hawatoweza sahau,lkn pia fanya mazoezi madogo madogo mbio ni...
  7. K

    JamiiForums Tanzania Msaada wa uhamisho wa ajira ya umma

    Mbona wengine zinapokelewa Mkuu na mie nilikuwa na inshu ya uhamisho kama yako na simu walipokea,piga siku za kazi kuanzia saa 2:00 Asubuhi hadi saa 10 Jioni
  8. K

    JamiiForums Tanzania Msaada wa uhamisho wa ajira ya umma

    Ebu jaribu kuwapigia kwenye hiyo namba yao ya huduma kwa wateja 0734986508 naamini utapata majibu sahihi Mkuu
  9. K

    JamiiForums Tanzania Matokeo ya usaili TRA 2025

    Nimekula zangu single digit na wala siwazi na nishawaambia home, hapa nyumban sihami wala nn,labda wao ndo wanipishe
  10. K

    JamiiForums Tanzania PreGE2025 Video: Miraji Mtaturu, Mbunge wa Singida Mashariki Akataliwa kwa kuzomewa na wananchi

    Hapana huyu anaitwa Miraji Mtaturu
  11. K

    JamiiForums Tanzania Serikali kupeleka huduma ya usafiri wa dharula kwenye maeneo yasiyofikika

    Ndo huyu huyu yaan tokea apate ile ajali na mchepuko ctokaa nimwamini tena,Inshort n kwamba haaminiki
  12. K

    JamiiForums Tanzania Mkopo wa HADHINA kwa Watumishi: Naomba uzoefu wa Namna ya kupata Mkopo huu na Changamoto zake

    Nazani ulimaanisha mikopo kupitia hazina na sio hadhina,kule wana dubwasha linaitwa hazina saccoss wanakopeshana kupitia uko,kuna no hii +255683865660 wameweka in case of any inquiry
  13. K

    JamiiForums Tanzania Kama Maharage ana biashara TTCL, kwanini anapewa nafasi kubwa serikalini? Si achague moja, biashara ama kutumikia umma

    Mie mwenyewe nimeshtuka sana kwa wale wanaoijua biashara anayofanya na ttcl watujuze kidogo!
  14. K

    JamiiForums Tanzania Azam TV wana mtu anaitwa Faraja Sendegeya huyu ni nani?,naomba profile yake kwa anayemfahamu

    Isije ikawa ww ndo Faraja mkuu umeamua kujipa ujiko kiaina
Back
Top Bottom