Mkuu sorry!!!naomba nipate ufafanuzi kidogo ,hv upande wa attachment kule kwenye vacancy request je unaattach CV tu au ni pamoja na barua ya maombi ya kuomba kuhamia uko unakotaka kwenda??
Da mie mwenyewe niliwahi fanya kama Loan officer kwenye Taasisi mojawapo ya mikopo ipo wilaya ya Bunda Mkoa wa Mara,kuna siku nipo katika harakati za kufatilia marejesho cna hili wa lile kilitokea kimbunga hicho cjui hata kilipozuka aisiii kule kuna wanga balaa nikaona isiwe tabu nikaachana nayo...
Na asisahau pia kuna wateja sugu hapa lazma sura iwe na mikunjo ya kutosha hlf ujue pia kuruka ukuta maana kuna wateja wana balaa waliwah mfungulia mbwa mshikaji wangu,hawakumkuta eneo la Biashara wakaenda kumdai nyumbani kilichowakuta hawatoweza sahau,lkn pia fanya mazoezi madogo madogo mbio ni...
Mbona wengine zinapokelewa Mkuu na mie nilikuwa na inshu ya uhamisho kama yako na simu walipokea,piga siku za kazi kuanzia saa 2:00 Asubuhi hadi saa 10 Jioni
Nazani ulimaanisha mikopo kupitia hazina na sio hadhina,kule wana dubwasha linaitwa hazina saccoss wanakopeshana kupitia uko,kuna no hii +255683865660 wameweka in case of any inquiry
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.