Sasa uyu ni marehem 1 to na mwili umepatikana lakini tahaluki imekuwa kubwa kiasi iki...
Imekuaje wale ambao ni zaidi ya elfu 8 waliouwawa cku ya maandamano ndugu zao kuwa kimya kiasi iki??!!
Kunavitisho gani vinavyoendelea juu ya wanafamilia waliobaki...
Yani ili jambo nimelifikilia sana na nikashindwa kupata jibu..
Mimi cna ndugu alieuwawa kwenye maandamano japo cna uhakika maana unawezatambua cku zijazo ila maumivu niliyonayo juu ya roho zilizoondoka cku ya mo 29 ni makubwa..
Iweje wafiwa wawe watulivu kama wamepoteza paka wakati tumepoteza...
Kwani kama kuvunja katiba ya nchi na ya chama chako uyo mamaako kashavunja mala ngap??
Unataka Mwabukusi aingie bunge kwa mfumo upi wa uchaguzi??
Unafikili uyo mamaako yuko tayali kumuachia mtu alie serious angie bungeni...
Kubalini reforms zifanyike ili wenye akili waweze kuingia bungeni..
Nitakuw mpumbavu wa mwisho kuamini eti Mpina nae ni mpinzani yani mtetezi wetu..
Wapinzani wakweli wapo kwenye NO reform No election...
Hawa wengine wanatengenezwa ili kuweka upinzani feki..
Nikikumbuka kipindi kile tulichoambiwa tukienda kupiga kula tuwe na pen zetu coz tukitumia peni zao kwa upande wa upinzani kula zinafutika..
basi kwenye foleni ya kupiga kula kila mtu utakuta kashika peni yake..
Naikitokea mtu kakuomba pen ili akapigie kula ni lazima humpe coz unajua huyu ni...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.