Wewe nani mpaka utake nyaraka za chama kisichokuhusu umesoma lakini unakopi akili za vijiwe vya kahawa mbowe siyo saizi yako unadhubutu nini wakati hata balozi wako hakujui uko mbali mno pole yako
Wewe umesoma lakini huna akili hili jukwaa la wasomi na kushangaa sana mbowe namweshimu kwakuwa ni...
Wewe nani mpaka utake nyaraka za chama kisichokuhusu umesoma lakini unakopi akili za vijiwe vya kahawa mbowe siyo saizi yako unadhubutu nini wakati hata balozi wako hakujui uko mbali mno pole yako
Unateseka na mbowe ukiwa wapi mkuu nafikiri uko lupaa chunya au mulongo isenyi bila shaka pole sana na hata bando huwa ni shida kwako kwenye jamvii hili unaingia mwaka mara moja
Kuna mabingwa wa kubisha humu kuwa iran imedungua kombora zote za Israel hiki kilicho mpata iran ni sawa na umchokoze matumula eti itampiga mkianza tu anakupiga ngumi za pua na jicho damu puani na macho unaona nyota nyota sidhani kama utaweza rusha tena ngumi sasa kwa iran tusubiri labda...
Unafikiri swala la Israel siyo anapigana na palestinians yeye anapigana na magaidi wa hamas waliojichanganya ndani ya raia wa kipalestina na wengi wa wapalestina hawapendi hamas wanalazimishwa tambua west bank ni mamlaka ya palestinians lakini hakuna tatizo kama la gaza wanakotawala hamas...
Wewe hata kidogo kivipi china isitegemee USA itakuwa kichekesho hivi unajua soko la chuma china inategemea kwa asilimia kubwa sana familia meli kubwa za evergreen nanga ni USA
Umw
Umenena vema tatizo la waswahili wa dini ya kiislamu humu wanadhani ni dini inapigwa pale ni ardhi inagombaniwa na unabii wa Yesu aliyeuliwa na hao wayahudi alitabiri taifa la kizazi hicho kitaisha kisha taifa litachupuka upya na walimkana lazima warudi wote na lazima wate wamuubiri duniani...
Yaani wataisha wote tatizo la kizazi hiki ujuaji mwingi soma biblia aliyoyatabiri yesu kuhusu taifa la Israel kutawanyika kwake na kurudi kwake hata hicho kipande cha palestinians lazima liwe lote kwa Israel na ndiyo maana kila walioamua mipaka vita Tambua tangu zamani hiyo ardhi haikuwa ya...
Shida wewe unafafanua ukiwa na elements za udini pale kinachogombewa ni ardhi siyo dini wengine wanatumia dini ilikupata kuungwa mkono kama hamas wanavyojificha kwa watoto na wamama ili kupata huruma ila mimi nawalaumu wapalestina walioukataa mpango wa UN kama wenzao Israel wao walivyokubali...
Wapalestina siyo wafilisti wapalestine ni waarabu na wala asili ya jina palestinians siyo kiarabu hilo jina lilibuniwana mrumi kwa lengo la kufuta taifa la Israel
Sasa wewe unaongea kuwa taifa la Israel kimeundwa 1948 kwa mujibu wa UN lakini tambua kabla ya UN taifa hilo la kitambo kama wewe ni msomi soma taifa la rumi ndiyo utayafuta hayo mawazo ya waalimu wa madarasa na tangu kuumbwa kwa ulimwengu hapajakuwepo taifa wa nchi ya wapalestina kwa taarifa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.