Recent content by kiroka

  1. K

    JamiiForums Tanzania Kwa nilichokiona kwa huyu boss wangu, sitahangaika kumridhisha mwanamke

    Jamaa ni boss wangu lakini tumekua marafiki wakubwa mambo mengi ya kifamilia tunashirikishana. Jamaa ana ndoa yake ya kikatoliki na watoto uchumi uko vizuri, Boss kanasa kwa dada mmoja pisi na nusu, dada ni mzuri Hadi kero, ana rangi, shape na kaenda hewani huko nyuma ni hatarii Lakini demu ni...
  2. K

    JamiiForums Tanzania Alikubamiza miezi nane gerezani, leo mmekuwa marafiki wa kufa na kuzikana

    Mimi binafsi wakati hii kesi inaanza nilijua Lissu atakaa kimya hatojitetea Wala kua na wakili au mashahidi kesi iendeshwe upande mmoja kwa kuamini kua anaonewa lkn alivoanza kujitetea na kuweka mapingamiz na kinachoendekea sasa mwenyekiti gudbai
  3. K

    JamiiForums Tanzania Alikubamiza miezi nane gerezani, leo mmekuwa marafiki wa kufa na kuzikana

    Ngoja tuone hili picha la kihindi
  4. K

    JamiiForums Tanzania Alikubamiza miezi nane gerezani, leo mmekuwa marafiki wa kufa na kuzikana

    Mashtaka ya uongo kivip Babu wamemkuta ana kesi ya kujibu, ameanza kujitetea na mashahidi wanaendelea kumtetea na mbaya zaidi mahakama imewaita Wana usalama, kesi inasikilizwa open Kila mtu anaona kimasiala wanaweza kumnyoa mwenyekiti
  5. K

    JamiiForums Tanzania Alikubamiza miezi nane gerezani, leo mmekuwa marafiki wa kufa na kuzikana

    Lissu yupo gerezani ukonga zaidi ya mwaka hajamwona mkewe Wala watoto wake hatupigi kelele
  6. K

    JamiiForums Tanzania Nauliza tu, hivi hawa watu wote wanaoenda Kizimkazi wanatoa pesa za rambrambi?

    Na ushamba wao ndo wanaongoza nchi
  7. K

    JamiiForums Tanzania Nauliza tu, hivi hawa watu wote wanaoenda Kizimkazi wanatoa pesa za rambrambi?

    Yaan watu wa hovyo sana mmewahasisha watu wafanye vurugu, wakafanya wakapat madhara hamjazipa familia zao faraja Wala misaada Leo imekua agenda eti mnawalilia mmehuzunishwa sana, ujinga
  8. K

    JamiiForums Tanzania Nauliza tu, hivi hawa watu wote wanaoenda Kizimkazi wanatoa pesa za rambrambi?

    Acha roho mbaya muuaji amemuua mama yako au
  9. K

    JamiiForums Tanzania Nauliza tu, hivi hawa watu wote wanaoenda Kizimkazi wanatoa pesa za rambrambi?

    Wana akili sana yaan wametuuza watu wote na wewe umo Hawa ni wajanja kuliko sisi
  10. K

    JamiiForums Tanzania Nauliza tu, hivi hawa watu wote wanaoenda Kizimkazi wanatoa pesa za rambrambi?

    Ndo uone utofauti sasa, siku ukiambiwa tukachome Mali za watu utatulia
  11. K

    JamiiForums Tanzania Nauliza tu, hivi hawa watu wote wanaoenda Kizimkazi wanatoa pesa za rambrambi?

    Nampa pole Rais wangu kipenzi mama Samia suluhu Hassan kwa kufiwa na baba yetu mzee Hafidh Hassan Nimeona watu wengi wanaenda kumpa pole mama za kufiwa, na sisi waafrika tunapoenda kumuona mgonjwa hospital au kuhani msiba lazima tunaacha chochote kitu, swali je Hawa wanaoenda kumhani mama je...
  12. K

    JamiiForums Tanzania Itakuwaje siku Samia akiingia JF asome watu wanavyomchukulia?

    Bora umchukie mtu wa level zako kumchukia Rais wa nchi ni kujitesa, huwezi kukaa nae hata cku Moja mkamaliza tofauti zenu, chukia umasikini upambane nao sio mtu
Back
Top Bottom