Hawana shida dada zetu ila mwanaume awe na akili timamu ndo utaweza kuishi nao, Mimi ni mpare na nimeoa mpare, ukimkuta mwanaume alieoa mpare analalamika kua mke ni mchoyo au mchawi sijui Kuna sehemu huyo mwanaume hajasimama Kama mwanaume, ukilegeza tu kuishi nae ushaliwa mzee, Kuna ile misimamo...
Jakaya kikwete aliyekua rais wa awamu ya nne alikaa na vyama vya upinzani ikiwemo chadema na kukubaliana kuandika katiba mpya,
Mchakato ukaenda mpaka tukapata Bunge la katiba, kwenye ukinzani wa hoja chadema wakaunda kikundi Cha UKAWA hapo ndipo mambo yakaanza kuharibika
Pamoja na...
Kuna mambo tunayajua na Kuna mambo hatuyajui, ccm hawataki kutoka madarakani na chadema wanatak kuingia madarakini, kwa hyo kila mtu anawez fanya drama zake apate hitaji lake
mama yako km yupo hai si aje mbona simple km mama huna dada je na vipi ukweni kwako hmn hao watu, sisi watu wa kaskazini suala la nani wa kumhudumi mzazi linafahmik wew mwanaume tafta pesa tu
mawaziri sawa, wakuu wa wilaya zilizopo vijijini 4*4 zinawafaa ila Hawa wa mjini za nini mkuu wa wilaya ya ilala kinondon na nyingn zenye miundombinu Kama hizi v8 la nni
Nawaza tu hivi Kuna umuhimu gani kwa wakuu wa wilaya na wakurugenzi wa halmashauri zilizopo mjini kutumia magari ya m,amia ya mamilioni,
Maeneo Mengi ya mjini miundo mbinu ni rafiki kwann mkuu wa wilaya na mkurugenzi wawe na mav8 ya nini, gharama ya kuyanunua na kuyatunza hawaoni ni kubwa saana...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.