Usikodi ukumbi angalia baa ya kawaida yenye eneo zuri, siku hyo wasiuze nunua vinywaji kwao, wakupe jiko Kodi vyombo na mpishi nunua vya kupika mwenyew mziki wa kwao bar mc tafuta mshkaj wako alicechangamk mwenye experience ya kuongea mbele za watu, Kodi video shuter wa kawaida tu, wageni...
Baada ya kifo Cha John wa chato niliandika Uzi hapa unasoma nashindwa kumsamehe John, nikijita kuelezea namna Lissu alivyoshambuliwa bila serikali yake kuchukua hatua lakini Leo nakiri anisamehe hayati John
Kwenye pita pita zangu Kuna vitu vingi nimekuja kuvigundua jinsi viongozi wa serikali...
Hawana shida dada zetu ila mwanaume awe na akili timamu ndo utaweza kuishi nao, Mimi ni mpare na nimeoa mpare, ukimkuta mwanaume alieoa mpare analalamika kua mke ni mchoyo au mchawi sijui Kuna sehemu huyo mwanaume hajasimama Kama mwanaume, ukilegeza tu kuishi nae ushaliwa mzee, Kuna ile misimamo...
Jakaya kikwete aliyekua rais wa awamu ya nne alikaa na vyama vya upinzani ikiwemo chadema na kukubaliana kuandika katiba mpya,
Mchakato ukaenda mpaka tukapata Bunge la katiba, kwenye ukinzani wa hoja chadema wakaunda kikundi Cha UKAWA hapo ndipo mambo yakaanza kuharibika
Pamoja na...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.