Recent content by kiroka

  1. K

    JamiiForums Tanzania Hakuna haki bila wajibu! Haki sio hisani ni stahiki inayopaswa kutolewa. Haki ya kufanya mikutano na maandamano ni haki kakini pia watimize wajibu

    Ni kweli ni haki lakini watachoma Mali za umma na za watu binafsi
  2. K

    JamiiForums Tanzania Nisamehe sana John Pombe Magufuli mwema wa Africa

    Baada ya kifo Cha John wa chato niliandika Uzi hapa unasoma nashindwa kumsamehe John, nikijita kuelezea namna Lissu alivyoshambuliwa bila serikali yake kuchukua hatua lakini Leo nakiri anisamehe hayati John Kwenye pita pita zangu Kuna vitu vingi nimekuja kuvigundua jinsi viongozi wa serikali...
  3. K

    JamiiForums Tanzania Nyie wanachama wa CHADEMA kama kweli mpo timamu watimueni top layer wote wa chama ni wezi na matapeli

    Hivi kwani chadema wakijibu hoja watakufa au
  4. K

    JamiiForums Tanzania Heche anapeleka wapi hela anazotafuna? Nyumba anayojenga haiendani na hela zinazotajwa kutafunwa

    Nyumba haiendani na tuhuma anazopewa ni ya kawaida saana, sema hoja ijibiwe kala au hajala
  5. K

    JamiiForums Tanzania Sio vema kumruhusu mkeo kwenda kufanyiwa massage wanawagegeda sana

    Haha masage ya mee
  6. K

    JamiiForums Tanzania Wanawake wamefanikiwa kuwaaminisha wanaume kuwa Ngono ni Raha ya Mwanaume tu, wao hawapati chochote

    Me siwezi kununua uchi alafu nihangaike kukuridhisha nakuvua nguo nikuangaliee niwek nimaliz nisepe ufundi wa nini
  7. K

    JamiiForums Tanzania Naombeni kufahamu sifa za wanawake wa Kipare

    Hawana shida dada zetu ila mwanaume awe na akili timamu ndo utaweza kuishi nao, Mimi ni mpare na nimeoa mpare, ukimkuta mwanaume alieoa mpare analalamika kua mke ni mchoyo au mchawi sijui Kuna sehemu huyo mwanaume hajasimama Kama mwanaume, ukilegeza tu kuishi nae ushaliwa mzee, Kuna ile misimamo...
  8. K

    JamiiForums Tanzania PreGE2025 Salum Mwalimu: Milango ya Maridhiano na CHADEMA ipo wazi

    Salum mwalimu akili nyingi, ccm nawachukue hili jembe
  9. K

    JamiiForums Tanzania CHADEMA inakosaje Intelligence yake kwa viongozi na wanachama wake wenye ushawishi ili kufunua ukweli, hii kulalamika tu mitandaoni inasaidia nini

    Kwann baba ako hakukojolea nje bao lililokuleta duniani wew fala jadili hoja matusi ya nini
  10. K

    JamiiForums Tanzania CHADEMA inakosaje Intelligence yake kwa viongozi na wanachama wake wenye ushawishi ili kufunua ukweli, hii kulalamika tu mitandaoni inasaidia nini

    Sioni kosa la mleta mada Kama self defence hakuna, Kama mnashindwa kulinda viongozi wenu kwa situation ilivyo mtaweza kulinda nchi kweli
  11. K

    JamiiForums Tanzania PreGE2025 Martin Masese: Polisi wamefika nyumbani kwa Mdude kuchukua Sampuli ya damu ili waanze uchunguzi

    Nakumbuka kauli yake baada ya msiba wa Magufuli kua alimnyoosha Magu sasa ni zamu ya Samia kunyooshwa na mdude
  12. K

    JamiiForums Tanzania Kumbukizi: Anna Tibaijuka anasema kupata Katiba Mpya katika Mazingira ya Amani - “Mtasubiri sana”

    Ujinga uliosomwa na mjinga mwenzangu
  13. K

    JamiiForums Tanzania Kumbukizi: Anna Tibaijuka anasema kupata Katiba Mpya katika Mazingira ya Amani - “Mtasubiri sana”

    Jakaya kikwete aliyekua rais wa awamu ya nne alikaa na vyama vya upinzani ikiwemo chadema na kukubaliana kuandika katiba mpya, Mchakato ukaenda mpaka tukapata Bunge la katiba, kwenye ukinzani wa hoja chadema wakaunda kikundi Cha UKAWA hapo ndipo mambo yakaanza kuharibika Pamoja na...
  14. K

    JamiiForums Tanzania Padri Kitima ashambuliwa na watu wasiojulikana. Inadaiwa hali yake ni mbaya

    Kuna mambo tunayajua na Kuna mambo hatuyajui, ccm hawataki kutoka madarakani na chadema wanatak kuingia madarakini, kwa hyo kila mtu anawez fanya drama zake apate hitaji lake
Back
Top Bottom