Baada ya kifo Cha John wa chato niliandika Uzi hapa unasoma nashindwa kumsamehe John, nikijita kuelezea namna Lissu alivyoshambuliwa bila serikali yake kuchukua hatua lakini Leo nakiri anisamehe hayati John
Kwenye pita pita zangu Kuna vitu vingi nimekuja kuvigundua jinsi viongozi wa serikali...
Hawana shida dada zetu ila mwanaume awe na akili timamu ndo utaweza kuishi nao, Mimi ni mpare na nimeoa mpare, ukimkuta mwanaume alieoa mpare analalamika kua mke ni mchoyo au mchawi sijui Kuna sehemu huyo mwanaume hajasimama Kama mwanaume, ukilegeza tu kuishi nae ushaliwa mzee, Kuna ile misimamo...
Jakaya kikwete aliyekua rais wa awamu ya nne alikaa na vyama vya upinzani ikiwemo chadema na kukubaliana kuandika katiba mpya,
Mchakato ukaenda mpaka tukapata Bunge la katiba, kwenye ukinzani wa hoja chadema wakaunda kikundi Cha UKAWA hapo ndipo mambo yakaanza kuharibika
Pamoja na...
Kuna mambo tunayajua na Kuna mambo hatuyajui, ccm hawataki kutoka madarakani na chadema wanatak kuingia madarakini, kwa hyo kila mtu anawez fanya drama zake apate hitaji lake
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.