Recent content by kiroka

  1. K

    Wanawake wamefanikiwa kuwaaminisha wanaume kuwa Ngono ni Raha ya Mwanaume tu, wao hawapati chochote

    Me siwezi kununua uchi alafu nihangaike kukuridhisha nakuvua nguo nikuangaliee niwek nimaliz nisepe ufundi wa nini
  2. K

    Naombeni kufahamu sifa za wanawake wa Kipare

    Hawana shida dada zetu ila mwanaume awe na akili timamu ndo utaweza kuishi nao, Mimi ni mpare na nimeoa mpare, ukimkuta mwanaume alieoa mpare analalamika kua mke ni mchoyo au mchawi sijui Kuna sehemu huyo mwanaume hajasimama Kama mwanaume, ukilegeza tu kuishi nae ushaliwa mzee, Kuna ile misimamo...
  3. K

    PreGE2025 Salum Mwalimu: Milango ya Maridhiano na CHADEMA ipo wazi

    Salum mwalimu akili nyingi, ccm nawachukue hili jembe
  4. K

    CHADEMA inakosaje Intelligence yake kwa viongozi na wanachama wake wenye ushawishi ili kufunua ukweli, hii kulalamika tu mitandaoni inasaidia nini

    Kwann baba ako hakukojolea nje bao lililokuleta duniani wew fala jadili hoja matusi ya nini
  5. K

    CHADEMA inakosaje Intelligence yake kwa viongozi na wanachama wake wenye ushawishi ili kufunua ukweli, hii kulalamika tu mitandaoni inasaidia nini

    Sioni kosa la mleta mada Kama self defence hakuna, Kama mnashindwa kulinda viongozi wenu kwa situation ilivyo mtaweza kulinda nchi kweli
  6. K

    PreGE2025 Martin Masese: Polisi wamefika nyumbani kwa Mdude kuchukua Sampuli ya damu ili waanze uchunguzi

    Nakumbuka kauli yake baada ya msiba wa Magufuli kua alimnyoosha Magu sasa ni zamu ya Samia kunyooshwa na mdude
  7. K

    Kumbukizi: Anna Tibaijuka anasema kupata Katiba Mpya katika Mazingira ya Amani - “Mtasubiri sana”

    Jakaya kikwete aliyekua rais wa awamu ya nne alikaa na vyama vya upinzani ikiwemo chadema na kukubaliana kuandika katiba mpya, Mchakato ukaenda mpaka tukapata Bunge la katiba, kwenye ukinzani wa hoja chadema wakaunda kikundi Cha UKAWA hapo ndipo mambo yakaanza kuharibika Pamoja na...
  8. K

    Padri Kitima ashambuliwa na watu wasiojulikana. Inadaiwa hali yake ni mbaya

    Kuna mambo tunayajua na Kuna mambo hatuyajui, ccm hawataki kutoka madarakani na chadema wanatak kuingia madarakini, kwa hyo kila mtu anawez fanya drama zake apate hitaji lake
  9. K

    Padri Kitima ashambuliwa na watu wasiojulikana. Inadaiwa hali yake ni mbaya

    Setting agenda, watu wanasema no reforms no election huwez jua kipindi hiki mpak October tutashuhudia mangapi
  10. K

    Padri Kitima ashambuliwa na watu wasiojulikana. Inadaiwa hali yake ni mbaya

    Nitakua mtu wa mwisho kuamini kua Samia kawatuma watu wakamshambulie father nadhan mama anahujumiwa tujipe muda,
  11. K

    Wazoefu nipeni ABC Niko pekeangu na wife anakaribia kujifungua

    mama yako km yupo hai si aje mbona simple km mama huna dada je na vipi ukweni kwako hmn hao watu, sisi watu wa kaskazini suala la nani wa kumhudumi mzazi linafahmik wew mwanaume tafta pesa tu
  12. K

    Kuna mahali viongozi wa nchi yetu wanatukosea Sana wananchi

    mawaziri sawa, wakuu wa wilaya zilizopo vijijini 4*4 zinawafaa ila Hawa wa mjini za nini mkuu wa wilaya ya ilala kinondon na nyingn zenye miundombinu Kama hizi v8 la nni
  13. K

    Kuna mahali viongozi wa nchi yetu wanatukosea Sana wananchi

    Nawaza tu hivi Kuna umuhimu gani kwa wakuu wa wilaya na wakurugenzi wa halmashauri zilizopo mjini kutumia magari ya m,amia ya mamilioni, Maeneo Mengi ya mjini miundo mbinu ni rafiki kwann mkuu wa wilaya na mkurugenzi wawe na mav8 ya nini, gharama ya kuyanunua na kuyatunza hawaoni ni kubwa saana...
Back
Top Bottom