Recent content by kiriamoria

  1. K

    Makundi ya vijana wa Kitanzania ambao hujihisi wameyapatia maisha

    ongeza saut hapo kwa vijana viwanajeshi!!!
  2. K

    TANZIA Wakili Geofrey Noah afariki dunia kwa tatizo la Nimonia

    Sasa hao wakifa uwez jua ao wanavuta kmya kmya huku street ila ikitokea kwa mtu maarufu km huyo ndo habar znatapakaaa
  3. K

    Wameru ni wakimbizi wa Kichaga

    Wameru n Wacha Mungu sana Alafu wana sheria Kali km Wamasai uwez kuta kijana wa kimeru Analewa lewa ovyo ovyo km vijana wa kichaga. Alafu dizain km wana ushirikiano sanaa Arusi za kimeru Watu wanatoa zawad hadi ratiba ya Shugul inaribika.
  4. K

    Mwanza: Barabara zote za mjini zinakaribia kuzibwa na wamachinga, Mamlaka zinaangalia tu

    Sio Mwanza tuu Hata Arusha pia Maduka ni kama yako barabarani sasa sijui walioko kwenye mafrem watalipa na hizo kodi za mapango na serikali
Back
Top Bottom